iron finger
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 358
- 220
Hahahahahaa,mkuu acha kuwapa watu matumaini hewa chadema washinde igunga???nakunywa tindikali labda wazoe wapiga kura toka arusha kiufupi kama sio ccm basi ni cuf,watz wameamka hawawezi kuongeza wasusia vikao bungeni kiufupi,dhambi ya tindikali kwa yule kijana,na kuudhalilisha uislamu italipwa kesho labda nafasi ya tatu mtashika lakini ubunge sahauni kabisa!
kumekuwa na tuhuma kila tunapokuwa na uchanguzi hapa nchini hasa zinazo husu kuchakachuliwa kwa matokeo. Nilikuwa na waomba wanaJF hebu tujaribu kutoa mawazo yetu ya kujenga, kuwa nini kifanyike ikiwa matokeo yatagundulika kuwa yamechakachuliwa.
mungu atuepushie hayo.
Maandamano ya kuing'oa CCM...
Kuna habari kwamba uongozi wa CCM unahofia kuwa Chadema kwa kushirikiana na kundi la wana CCM wana mpango wa kuiba kura. Sababu ya hofu hiyo ni pale gari la viongozi wa juu wa CCM lilipopita eneo walipokua wasimamizi wa vituo, wakashangaa wasimamizi wakionyesha alama ya vidole viwili ikiwa ni ishara ya kuwa wao ni Chadema.
Taarifa zilizofuatia zikasema kwamba baada ya hapo na CCM ikaamua kuwapa baadhi ya mawakala fedha na inasemekana baadhi wamepewa laki moja moja na mashuhuda wametuambia hapa Nzega kwamba wameona wasimamizi 20 waliopokea fedha hizo. Tunakumbuka uchaguzi wa 1995 aliyekua Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Ali Ameir Mohamed alisema hatakubali matokeo maana CUF waliiba kura kule Zanzibar, matokeo yake CUF walionja joto ya jiwe na hadithi ndio hiyo kabla ya ndoa ya majuzi. More to come.
Hiyo kesho ifike,nimechoka na Igunga igunga.
Kuna habari kwamba uongozi wa CCM unahofia kuwa Chadema kwa kushirikiana na kundi la wana CCM wana mpango wa kuiba kura. Sababu ya hofu hiyo ni pale gari la viongozi wa juu wa CCM lilipopita eneo walipokua wasimamizi wa vituo, wakashangaa wasimamizi wakionyesha alama ya vidole viwili ikiwa ni ishara ya kuwa wao ni Chadema.
Taarifa zilizofuatia zikasema kwamba baada ya hapo na CCM ikaamua kuwapa baadhi ya mawakala fedha na inasemekana baadhi wamepewa laki moja moja na mashuhuda wametuambia hapa Nzega kwamba wameona wasimamizi 20 waliopokea fedha hizo. Tunakumbuka uchaguzi wa 1995 aliyekua Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Ali Ameir Mohamed alisema hatakubali matokeo maana CUF waliiba kura kule Zanzibar, matokeo yake CUF walionja joto ya jiwe na hadithi ndio hiyo kabla ya ndoa ya majuzi. More to come.