Elections 2010 Hukumu ya Igunga leo WANANCHI KUAMUA NANI AWE MBUNGE WAO

kumekuwa na tuhuma kila tunapokuwa na uchanguzi hapa nchini hasa zinazo husu kuchakachuliwa kwa matokeo. Nilikuwa na waomba wanaJF hebu tujaribu kutoa mawazo yetu ya kujenga, kuwa nini kifanyike ikiwa matokeo yatagundulika kuwa yamechakachuliwa.

Yaani kamanda unahofia kushindwa vita kabla ya mpambano? hapa suala sio jimbo la Igunga, suala hapa ni ushindi dhidi ya uchakachuaji, ni kulinda kura mpaka kieleweke. Labda itokee kwamba wana-Igunga walishauza jimbo kwa mafisadi.
 
unajitahidi kujifanya unaupinga ukweli wa mambo!!!!!!!!!! wewe ndo unayejifanya kujipa matumaini hewa! wewe pamoja na hao magwanda wako kwishnei!!!
Mechanical error kwenye nervous system.
 
Asante mkuu kwa taarifa.
Kwa makamanda tulio Igunga tupumzike ili tuamke kesho tukiwa na Nguvu za kutosha kwa ajili ya kulinda kura zetu.
Peeeeeeeeeooooooooooooooples...................
 

Maoni yako kuhusu yule kamanda wa Mkoa wa Arusha wakati wa uchaguzi wa 2010 ni yapi? Kamanda yule yu wapi najua kuwa hayuko Arusha. CDM wanasema nini katika mambo na matukio kama haya.
 

Wale wasimamazi wote wa uchaguzi wamewekwa na CCM. CDM wakisinda ni dhahiri wameshinda kihalali. Nape na wenzenu msipaparike kwa ishara ya vidole pekee.

Kwani wangewaonyesha dole la kati mngesuspect chama gani chenye hila?
 
khaaaaaaaaaaaa kwelitumechoka mana kila kukicha ni igunga tu utafkiri ni uchaguzi wa urais
 
Asante mkuu kwa taarifa.
Kwa makamanda tulio Igunga tupumzike ili tuamke kesho tukiwa na Nguvu za kutosha kwa ajili ya kulinda kura zetu.
Peeeeeeeeeooooooooooooooples...................
makamanda mnalala???????????? c'mon msije kutupotezea ushindi dakika za mwisho.nawaomba makamanda wote msilale muwe tayari kugundua mbinu chafu!!!
 
i.d.i.o.t
 
ukiona mwizi analia kuwa ataibiwa ujue kashikwa pabaya! wataipata habari yao!
 


kalale salama mkuu uamke mweye nguvu kutujuza ili na sisi tufaidi bana, mweeeeeeee!
 


Inatakiwa kuongezwa wakuunga hojaa na kugongameza/kusinziya wapambanajii wanawazalilisha mafisadi
 
obri gado (asante sana)
 
Jamani siasa hizi,....
me na-reserve comment yangu hadi nione matokeo.
Huwezi jua anacho waza mtu aliyepo kwenye mkutano wa kampeni.

Nimeona makamba anajiapiza ccm kushinda.

Nimeona Jussa anajiapiza cuf kushinda,....

Chadema nao ndio balaa,hawako nyuma kujiapiza kushinda.

Swali ni je,....kwanini hamna chama hata kimoja kilicho sema kitakubari
matokeo?
Kila mmoja anataka kushinda,ni vigumu kuwa na wabunge watatu katika jimbo moja.
Otherwise tuna tanzamia vurugu kubwa igunga (God forbid)
 
Kukubali matokeo ndiyo kukomaa kisiasa, kila la heri wagombea, mshindi anasubiriwa mjengoni Dodoma kutetea maslahi ya watanzania!

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…