Elections 2010 Hukumu ya Igunga leo WANANCHI KUAMUA NANI AWE MBUNGE WAO

...............hatuwezi kutumia ndoto za wavuta bangi bwana.............
 
Wananchi wote popote mnapofanya ucahguzi, zikiwemo za madiwani na ubunge; kila kheri mtuwakilishe vilivyo. Lakini pia kitu pekee ninachoomba ni wananchi wa Shy - kumuenzi Kamanda Shelembi mpeni mgombea wa CDM ushindi wa historia kutuma salamu kwa wana-CCM.
 
chungaji huyo mwizi na hana jpya...kUMBE ALIOTESHWA NA miungu yake na SIYO MUNGU wa kweli tunayemwabudu tuliyowengi...hahaha asepe zake...
CHADEMA√
 

wilaya ni kubwa. Ni vigumu kuzunguka vituo vyote. Swala la msingi ni kutu update kadri ya uwezo wake.
 
Nyakati zimebadilika. Wasiotenda haki hawatashinda forever. Lazima nguvu ya umma ishinde, nguvu ya haki. Wasiotenda haki wataendelea kumomonyoka kama nguzo iliyojengwa kwa udongo wa mfinyanzi mvua inyeshapo.

The same is happening elsewhere on earth- Zambia, Libya, Tunisia, Syria, Yemen, Egypt. Vox populi vox dei.Sauti ya wengi Sauti ya Mungu. Ole kwa mafisadi. Watu tumechoka na wizi wa waziwazi. Mtaanguka vibaya 2015.

Mungu mwenye haki asimamie haki ktk Igunga kwa vyovyote hata kama itagharimu damu ya wenye kiu ya haki kumwagika. Haki haipatkani bure, ni lazima ipiganiwe kwa damu au kwa amani- Mapambano ni lazima. Tusonge mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…