Hukumu ya Jaji Tiganga inaweza kupatikana?

Hukumu ya Jaji Tiganga inaweza kupatikana?

mafutamingi

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2011
Posts
2,773
Reaction score
2,183
Pamoja na Mhe Mbowe na wenzake Kia chi wa guru baada ya DPP kueleza nia ya kutoendelea na kesi, je ile hukumu ya Jaji Tiganga iliyowakuta ya washtakiwa wana kesi ya kujibu inaweza kupatikana? Tunataka tuichambue hukumu hiyo kwenye vijiwe vyetu, kwenye vyama vya kitaaluma ya sheria, kwenye law schools na kwingineko. Hiyo hukumu tunaitaka. Jaji asitumie tamko la leo la DPP kuwa kichochoro cha kutotoa hukumu hiyo.
 
Kwa siku alizosikiliza hii kesi tayari jaji imemvua yale manguo yake kabaki na boxer tu kama ingeendelea kesi ingemvua mpaka boxer
 
Pamoja na Mhe Mbowe na wenzake Kia chi wa guru baada ya DPP kueleza nia ya kutoendelea na kesi, je ile hukumu ya Jaji Tiganga iliyowakuta ya washtakiwa wana kesi ya kujibu inaweza kupatikana? Tunataka tuichambue hukumu hiyo kwenye vijiwe vyetu, kwenye vyama vya kitaaluma ya sheria, kwenye law schools na kwingineko. Hiyo hukumu tunaitaka. Jaji asitumie tamko la leo la DPP kuwa kichochoro cha kutotoa hukumu hiyo.
Kwani unadhani kuna hukumu iliyoamriwa kisheria Katika Kesi hii ya akina Mbowe?

Au ni maagizo tu yanayotolewa na mhimili uliojichimbia zaidi chini na huku mhimili wa Mahakama ukifuata maagizo yote yanayoletwa na mhimili huo?
 
Back
Top Bottom