Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mbona sikuoni! Umevaa shati la rangi gani?Ngoja tuone.
Tupo hapa Lumumba!
Yupo KatoroMbona sikuoni! Umevaa shati la rangi gani?
Ahukumiwe kulipa angalau 1B ili akili imkae sawaMahakama Kuu leo inatarajiwa kutoa Hukumu ya Kesi inayomkabili Musiba na Mhariri wa gazeti la Tanzanite , ambao kwa pamoja wanadaiwa kumchafua Benard Membe kwamba alikuwa anamhujumu aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 , John Magufuli .
Membe anadai Mahakamani fidia ya Tsh Bil 10 .
Huyu hapa ?Kama wale nzi wa wapi wale.........!!!!
Hawaeleweki hawa wazee wa kubadili gia angani, unaweza shangaa akawa mgombea wao 2025Chadema twende na Membe 2025
[emoji102][emoji102]Chadema twende na Membe 2025
Bongo kila kitu kinawezekana,kasoro kufufua wafu tuu ndio hatuwezi.Nasikia Membe anaandaliwa vema kupeperusha Bendera ya ccm 2025!!Mama anazuga tu !hatogombea!!!
"Tumeambiwa umetoa siri za nchi! Hivyo meza hiki kidonge ulale hapo!!!" nasikia jamaa akameza hakuwa na ujanja!!!RIP E.K!!!Bongo kila kitu kinawezekana!!!Bongo kila kitu kinawezekana,kasoro kufungua wafu tuu ndio hatuwezi.