Hukumu ya Kesi ya Membe dhidi ya Cyprian Musiba yaahirishwa hadi Oktoba 28, 2021

Hukumu ya Kesi ya Membe dhidi ya Cyprian Musiba yaahirishwa hadi Oktoba 28, 2021

Hukumu ya Kesi Ya Mzee Membe Vs. C. Musiba Imekuwa Adjourned for Judgement Mpaka Trh.28/1/2021.

Jaji Demelo amsema kwamba hajakamilisha uandaaji wa hukumu yenyewe.

Kwa aina ya Jaji Demelo alivyo, lazima C. Musiba apigwe na kitu kizito sana kichwani.

PView attachment 1971860

Sent using Jamii Forums mobile app
Piga mpaka akae mpumbavu huyu.
Alitukana watu sana huyu
 
Musiba kapata siku za kupumua kidogo!! CCM ilikugeuka aisee unaweza kuona dunia ikufunike yeshee.

Ushauri: Musiba mtafute Membe myaongee ki-utu uzima - yanaongeleka mbona.
 
Mahakama Kuu leo inatarajiwa kutoa Hukumu ya Kesi inayomkabili Musiba na Mhariri wa gazeti la Tanzanite , ambao kwa pamoja wanadaiwa kumchafua Benard Membe kwamba alikuwa anamhujumu aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 , John Magufuli .

Membe anadai Mahakamani fidia ya Tsh Bil 10 .

===UPDATE===

Mahakama Kuu ya Tanzania leo inatarajiwa kutoa hukumu ya kesi ya Bernard Membe dhidi ya Cyprian Musiba. Membe amemshtaki Musiba na wachapishaji wa Gazeti la Tanzanite ambapo anadai fidia ya TZS bilioni 10 kwa madai kuwa gazeti hilo lilimchafua.

Maccm Yana shida sana,
Musiba alitumiwa na sukuma gang kuwachafua wenzie,JPM alipokufa tu,na yeye chali !!!kwishney!! Sasa aliowatukana wanamshitaki !!!
Ila kwa vile wote ni walewale,CCM,hii kitu imehailishwa Ili wajipange,kuwaokoa wote,Membe na Musiba,Ili uko mbele wanaweza wakawatumia kwenye kampeni
 
Watu tumeulamba ili tuje tusikilize kesi then wanahairisha
 
Hawa vijana waliongea sn jamani kaaah! Yule mwingine sijui yupo wapi?
 
Back
Top Bottom