Hukumu ya Kesi ya Membe dhidi ya Cyprian Musiba yaahirishwa hadi Oktoba 28, 2021

Musiba alishitakiwa kabla Magufuli hajafa
 
Pumbavu sana huyu Kilio na wenzake,wamedhalilisha na kuwapaka matope viongozi wetu wastaafu wakidhani hii dunia wameshaipatia..wakasahau kuwa dunia INA mizunguko miwili kwanza inajizungusha yenyewe kwenye mhimili wake pili inalizunguka jua..wakanyee ndoo tu ili iwe fundisho kwa wengine

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…