GlorytoGod
Senior Member
- Sep 8, 2012
- 158
- 50
Wanajamvi heshima kwenu,
Napenda kuuliza ile hukumu ya mbunge wetu Godbless Lema ni lini maana tunasubiri kwa hamu maana tunaona kimya kimezidi.
Kwa anayejua ni lini makamanda tupashane ili tujiandae.
Napenda kuuliza ile hukumu ya mbunge wetu Godbless Lema ni lini maana tunasubiri kwa hamu maana tunaona kimya kimezidi.
Kwa anayejua ni lini makamanda tupashane ili tujiandae.