Ngarob
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 661
- 2,204
Kipindi kile hao jamaa ...walikuwa wanajiongeza kupata hela ...Kazi ya mwajiri yake hiyo. Sasa kosa la kiutumishi au la ajira ni unyang'anyi wa kutumia silaha? Pengine mwajiri wake amempa onyo ama karipio.
Na walikuwa wakitumia Polisi kwenda sehemu kuchukua hela ..nje ya eneo lake LA kazi ..
Hii kitu mbona inajulikana hata kwa Jaji mwenyewe