Sasa akifungwa nyie mnapata nini?au ndo CHADEMA wenyewe nyie.Watu wazima hovyooo.Sasa ngoja niwaambie nduguzangu ktk ADAM,sisi watanzania niwajinga sana, leo limetokea kwawaislam mnafurahia,kesho litatokea kwa Wakristo ingawa maranyingi hawaguswinao waislam watafurahia.Hii inapelekea serikari kutufanya watakavyo.uovu ukemewe bila kuangalia itikadi za dini.Wanatumia sana "Divide and rule" au colaboration.tuhurumiane jamani.Maana imekua kwenye kadhia yawaislam wasomi na vyombo vya habari wanapotosha saaaaaaaana.Mtihani mkubwa.