Hukumu ya Sheikh Ponda kusomwa Mei 9...

Hukumu ya Sheikh Ponda kusomwa Mei 9...

naona umepanic mpaka haujielewielewi....ponda ni mwizi wa matofali,nondo,cement na kokoto...apewe hukmu anayostaili

Inaelekea ulikua nae wakati anaiba matofali,,Kama ni kuambiwa,ulisikia basi changanya na zakwako.
 
Hapo ndio ushangae kuwa Ikulu inaingilia uhuru wa mahakama kesi inaahirishwa kila siku wanabishana jinsi ya kumtoa kitanzini huyo Mlinzi wa ....ambae ni mkuu wa majeshi yake ya msaada!upande wa pili!kazi ipo!tutashangazwa na hukumu akiachiwa huru.....na mahakimu kuhamishwa wote ambao watapinga hukumu yake!
 
Kweli kabisa.....Lwakatare Lazima achezee Maisha kwa style hii

yeah if possible.. Then baada ya hapo mvua ya miaka kama 50 inafuata kwa gaidi ilunga, baada ya hapo tunamalizia na wale viongozi wa uamsho kule zenji pamoja na kijana wao omar mussa makame.

Ahaaaaa baada hapo nchi itakuwa shwari sana
 
Sasa akifungwa nyie mnapata nini?au ndo CHADEMA wenyewe nyie.Watu wazima hovyooo.Sasa ngoja niwaambie nduguzangu ktk ADAM,sisi watanzania niwajinga sana, leo limetokea kwawaislam mnafurahia,kesho litatokea kwa Wakristo ingawa maranyingi hawaguswinao waislam watafurahia.Hii inapelekea serikari kutufanya watakavyo.uovu ukemewe bila kuangalia itikadi za dini.Wanatumia sana "Divide and rule" au colaboration.tuhurumiane jamani.Maana imekua kwenye kadhia yawaislam wasomi na vyombo vya habari wanapotosha saaaaaaaana.Mtihani mkubwa.
 
QUOTE=Remote;6167171]yeah if possible.. Then baada ya hapo mvua ya miaka kama 50 inafuata kwa gaidi ilunga, baada ya hapo tunamalizia na wale viongozi wa uamsho kule zenji pamoja na kijana wao omar mussa makame.

Ahaaaaa baada hapo nchi itakuwa shwari sana[/QUOTE]

"Bado kaka utakua umemsahau Gaidi wa chamachenu Lwakatare,pengo au mwanya sijui,Mtikila na Watumishi NECTA.Hapo sasa Nchi itakua shwari.
 
Mmmmmmmh kaaaaazi kwelkweli.Mungu hakosei hata kidogo pale aliposema"waliomkanusha Mungu mmoja wanadhihirisha chuki ndogo kuliko waliyoificha vifuani mwao".Imani yake kwamungu Mmoja inasababisha waliomkufuru mungu kulopoka hovyo kabisa.baada yakuwanyima Elimu watoto wake sasa wanaombea afungwe mtapata nini?.Hiyo ni akili ya kenge kukimbia mvua nakuingia mtoni.
 
yeah if possible.. Then baada ya hapo mvua ya miaka kama 50 inafuata kwa gaidi ilunga, baada ya hapo tunamalizia na wale viongozi wa uamsho kule zenji pamoja na kijana wao omar mussa makame.

Ahaaaaa baada hapo nchi itakuwa shwari sana
Hakuna ushwari msijidanganye.Dhuluma dhidi ya waislam TZ na mauaji ya Kimbari Zanzibar 1964&2000 ni mambo yatakayoendelea kuwatesa.kumbuka mnapingana na nguvu za M/Mungu.
 
Hakuna ushwari msijidanganye.Dhuluma dhidi ya waislam TZ na mauaji ya Kimbari Zanzibar 1964&2000 ni mambo yatakayoendelea kuwatesa.kumbuka mnapingana na nguvu za M/Mungu.

acha kujificha kwenye dhulma unajua alichofanya ponda aua unaropoka tu...

Anastahili nyngi sana; hata hivyo nawalaumu polisi kwakumchelewesha kumtia ndani
 
Kwa Hali hiii nakubali kua "IS BETTER TO DIE FOR SOMETHING THAN TOLIVE FOR NOTHING"Rest in piece our brother ABOUD ROGO
 
Back
Top Bottom