Hukumu ya uonevu yatolewa leo katika Mahakama ya Wilaya Karatu


Karatu haki kutendeka ni ndoto, kwani kesi nyingi ni za uonevu, ubabe na nguvu ya pesa.
 


Hii kesi inaweza kukatiwa rufani na mfungwa kuachiliwa.

Kama ni kweli ushahidi muhimu kama huo haukupelekwa mahakamani, hakuna kesi hapo. Inawezekana mshtakiwa hakuwa na mwanasheria wa kumsimamia, ndipo ikawa hivyo. Mtafutieni msaada wa kisheria, wapo wanasheria (TLS na NOLA) watakaotoa msaada wa kufungua rufani kwa niaba yake, bila gharama zozote.

Ni kesi rahisi.
 
Kule karatu wanaendekeza sana ngono wacha wajifunze. What if huyo binti angekuwa mwanao ungemtetea mshtakiwa?
 
Huyo DC ni yupi? Ni Kijiko au mwingine? Kweli Mahakama ya Karatu haitoi haki. Hatujui na Omar Kwaangw utendaji wake utakuwaje!
 
Kweli manoah hata mimi nilipopata taarifa hizi ilibidi niende eneo husika na nikapata taarifa kutoka ndani ya mahakama kuwa wameshinikizwa kutoa adhabu husika.

Msichana kahamishwa shule.
Kwa nini mahakimu wasiwajibishwe kwa hukumu ambazo haziendani na sharia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…