Humam cloning

Humam cloning

badison

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2015
Posts
1,450
Reaction score
2,761
wana jf kama kuna mtu yyte anaelimu kuhusu clones tafadhali sana atuelimishe. kwani hata kiongozi wa nchi mwenye kupenda safari za nje anaweza tolewa photocopy bila raia kujua au usalama even anaweza kuwa assassinated then kuwa replaced na clones. is this ring a bell? msaada tafadhali
 
niliwahi kuona idea kama hiyo kwenye muvi flani hivi.

Raisi alitekwa na wakabadilisha na mtu mwingine aliye tengenezwa kama raisi aliye tekwa. So alikua states house kwa interests za.walio mtengeneza.

ila.siamini kama jk wanaweza kumclone hadi sauti?
ngoja wajuvi wa haya mambo wakuje pande hizi
 
Back
Top Bottom