FourTwoNet
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 1,236
- 2,512
RAM na GB unaweza kuzifananisha na kumbukumbu(RAM) na mawazo/fikra(GB/Data)So how do we connect Haman Brain na Kompyuta. RAM na GB tunalinganishaje na Ubongo.
Ni challenge tu lakini. I don't mean to disrespect the person brought the thread
10% Ni Neurone 90%Glial and supportive cells hawakuziongelea .Wanasayansi wanasema pamoja na kizazi hiki chetu cha karne ya 21 kuwa na maarifa tele, ni 10% tu ya ubongo ndiyo iliyofanya kazi kiufasaha, lakini zaidi ya 90% bado haijatumika kabisa.
Ram>>>>>kumbukumbuRAM na GB unaweza kuzifananisha na kumbukumbu(RAM) na mawazo/fikra(GB/Data)
kumbuka pia , tunatumia computer kwa kazi zisizowezwa kufanywa na ubongo kwa wepesi."If computer made by human minds is just part of us "
Kama ilivyo maboresho yake yanategemea Ubongo.
Na Ubongo ubaki superior mbele ya devices zote.
Na wazidi kugandamizia kutoka kwenye research zao bila hvyo sidhani Kama wangekuwa na jeuri ya kushindanisha
.
mbegu ya mwanaume( maniii) inapokutana na yai la mwanamke, na mtoto anapoundwa, hizo instruction zinaanza kujipangilia,kwa msaada wa homones, mpaka mtoto atapokuwa kiumbe kamili, sio kwamba ni mtu anaakaa maabara ili kukuwekea hizo instruction,Nani kayaweka hayo maelekezo kwenye cell za ubongo swali ndo liko apa nani kayaweka hayo maelekezo ķwenye izo cell za ubongo
kumbuka pia , tunatumia computer kwa kazi zisizowezwa kufanywa na ubongo kwa wepesi.
Mkuu kimbizana naoTurudi kwenye Evolution ya hizi Comps utaona Bado Hy supercomputer inahitaji uwepo wa Human Intelligence iwe integrated na Technology kwa muda huo ili kufanya Jambo
Mfano Insilico ( Computer ya kuusoma ugonjwa mwilini ) tunaona Bado Biology imechukua nafasi kubwa
Mkuu kimbizana nao
nakubaliana na wewe lakini kumbuka ubongo wetu pia unazihitaji sana hizo computa piaTurudi kwenye Evolution ya hizi Comps utaona Bado Hy supercomputer inahitaji uwepo wa Human Intelligence iwe integrated na Technology kwa muda huo ili kufanya Jambo
Mfano Insilico ( Computer ya kuusoma ugonjwa mwilini ) tunaona Bado Biology imechukua nafasi kubwa
Yani mpinzani ili awe mpinzani tu...ata ukimuambia yeye ni mwerevu, atakupinga!!😂 😂 😂 😂 ila we jamaaa
Skupinginakubaliana na wewe lakini kumbuka ubongo wetu pia unazihitaji sana hizo computa pia
Hata ubongo wa binadamu uko programed na kuna tasks hauwezi kuzifanya beyond scopeSijui baadhi wanatumia nini kupembea mada hizi lakini niweke hili sawa ubongo wa binadamu huwezi kufananisha na kitu ambacho kishakuwa programed kufanya certain task not beyond of its scope
sawaSkupingi
lakini tukumbuke Computer is finite intelligence Human mind is infinity Intelligence .... All in all brain sio predictable Kama Computer.
Nani kauprogramm ubongo?Hata ubongo wa binadamu uko programed na kuna tasks hauwezi kuzifanya beyond scope
Kwahyo tunacompare hivi vitu viwili (ubongo vs computer) sio kwasababu vinafanana uwezo(ubongo una uwezo mkubwa zaidi)
Lakini kwasababu vinafanana asili (they are all programmed algorithms)
Umejuaje kuulizia 'nani'??Nani kauprogramm ubongo?
Kwani kuna automation creator?Umejuaje kuulizia 'nani'??
Kwani lazima awe nani?? Kwanini isiwe Nini?
Swali lako lina assumption.Kwani kuna automation creator?
Kwangu mimi kila kilicho kina mtu aliyekitengeneza au kuumba hakuna kinachokuja tuSwali lako lina assumption.
Assumption uliyonayo ni kuwa kila 'creation' lazima iwe na 'creator'
Sasa naomba uithibitishe kwanza hii assumption halafu ndiyo nikujibu Hilo swali.
Sawa, kwanini sasa? Thibitisha hili.Kwangu mimi kila kilicho kina mtu aliyekitengeneza au kuumba hakuna kinachokuja tu