Human Nutrition

Human Nutrition

kacherema

Senior Member
Joined
Oct 3, 2017
Posts
124
Reaction score
60
Wakuu kwa mwenye uzoefu mtu mwenye degree ya human Nutrition akiajiriwa pale muhimbili labda kitengo moi, monthly salary anaweza akaanza na package kiasi gani?? Nina sababu ya kuuliza hivi wakuu na ninafahamu jukwaa hili lina watu wa kada hii pia.
 
Wakuu kwa mwenye uzoefu mtu mwenye degree ya human Nutrition akiajiriwa pale muhimbili labda kitengo moi, monthly salary anaweza akaanza na package kiasi gani?? Nina sababu ya kuuliza hivi wakuu na ninafahamu jukwaa hili lina watu wa kada hii pia.
Watakuja wataalamu!!! Watakujuza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom