Mkuu kuwa mnyenyekevu ππUshawahi kupewa ruhusa na mke wako ujambe?
Ngoja nikutag.
Nadhani wameshaona, ila hawataki ku acknowledge source ya mleta mada.
Sio nimejaa kwenye mfumo..Hapana kaka sijasema ni wewe mkuu, labda umejaa tu kwenye mfumoππππ
Nikitoka job leo napitia hapo..Afuu nimekumiss
Safi nimependa hioKuna somo naomba uje unifundishe ukipata nafasi kuhusu Ego kuna mahali nliona umeielezea, nataka kujua mimi kinachonisumbua ni ego au ni nini, ukipata nafasi naomba unicheki ahsante.
Hii mada nzuri sanaa tatizo siku hizi inaharibiwa na machawa, yaani kuna mtu anaweza kuonekana ni myenyekevu kumbe ni chawa.Hakuna mtu yoyote mwenye pride duniani akamaliza maisha yake salama..
Its written in the all holly books.
Wahenga wamezungumza, methali za kiswahili zimesema "" Hakuna usalama kwa mtu mwenye pride""
Viburi vingine tunavyo vipotray kwenye nyumba zetu, kwenye familia zetu, kwenye jamii zetu. Their not for our safety.. is dangerous
Unyenyekevu sio upumbav u. Unyenyekevu sio kwamba utaonekana zobe. Actual mnyenyekevu anaonekana ana akili kuliko anayejifanya nunda.
Kwa sababu ukitanua mabega na kunyanyua masikio wenye akili wakikuona unakosea watanyamaza kimya watakuacha unatumbukia shimoni hutoshtuliwa
Lakini mnyenyekevu hatashtuliwa hata wakati ambako haoni .. humbleness is pretends..
Mnynyekevu ni kama mtu anaye igiza kipofu, ana pretend kama ni kipofu ili aone na kipofu mtu mwingine anaye kuonyesha atakuonyesha ata ambavyo ujaviona wakati unadhania unaona.
Unajua kuna wakati unadhania unaangalia kumbe huoni. Ushawahi kuona ile macho yapo wazi unatembea unaangalia lakini unasema hivi aaaah sikuona bana lakini ulikua unaangalia pale pale na directions ile ile mpaka aje akustue mtu mwingine oya kuna kitu hapa..
Maana ake nini...
Unyenyekevu unachokifanya kwenye maisha ya mtu, unamsaidia kumfungua macho mengine . Hvyo unyenyekevu ni jicho la tatu.
Wasalam........
DR Mambo Jambo
Vishu Mtata
AiseeπKunyenyekea chuchu zilizolala hapanaπ₯Άnyenyekea kitanda, sahani ya chakula na choo
Yaani u'sipo angalia unaweza kuitwa chawaHii mada nzuri sanaa tatizo siku hizi inaharibiwa na machawa, yaani kuna mtu anaweza kuonekana ni myenyekevu kumbe ni chawa.
Ila kama uko smart ni rahisi sana kutofautisha chawa na mnyenyekevu.
Huyu jamaa ajitambuiAiseeπ
MBona kama umecopy maneno ya mtumishi Tony Kapola mkuu na hujatoa credit yake?...Hakuna mtu yoyote mwenye pride duniani akamaliza maisha yake salama..
Its written in the all holly books.
Wahenga wamezungumza, methali za kiswahili zimesema "" Hakuna usalama kwa mtu mwenye pride""
Viburi vingine tunavyo vipotray kwenye nyumba zetu, kwenye familia zetu, kwenye jamii zetu. Their not for our safety.. is dangerous
Unyenyekevu sio upumbav u. Unyenyekevu sio kwamba utaonekana zobe. Actual mnyenyekevu anaonekana ana akili kuliko anayejifanya nunda.
Kwa sababu ukitanua mabega na kunyanyua masikio wenye akili wakikuona unakosea watanyamaza kimya watakuacha unatumbukia shimoni hutoshtuliwa
Lakini mnyenyekevu hatashtuliwa hata wakati ambako haoni .. humbleness is pretends..
Mnynyekevu ni kama mtu anaye igiza kipofu, ana pretend kama ni kipofu ili aone na kipofu mtu mwingine anaye kuonyesha atakuonyesha ata ambavyo ujaviona wakati unadhania unaona.
Unajua kuna wakati unadhania unaangalia kumbe huoni. Ushawahi kuona ile macho yapo wazi unatembea unaangalia lakini unasema hivi aaaah sikuona bana lakini ulikua unaangalia pale pale na directions ile ile mpaka aje akustue mtu mwingine oya kuna kitu hapa..
Maana ake nini...
Unyenyekevu unachokifanya kwenye maisha ya mtu, unamsaidia kumfungua macho mengine . Hvyo unyenyekevu ni jicho la tatu.
Wasalam........
DR Mambo Jambo
Vishu Mtata
Pole mkuu kuwa mnyenyekevu.Sio nimejaa kwenye mfumo..
Mi sijapenda kabisa bana ππ
Mbona nimeweka na video yake hapo juu kakaM
MBona kama umecopy maneno ya mtumishi Tony Kapola mkuu na hujatoa credit yake?...
Mtu na heshima zako jf hapaPole mkuu kuwa mnyenyekevu.
Kawadanganye waliosinzia mkuuπMtu na heshima zako jf hapa
Kweli unajua kuishi na kila mtu mastA umefuzuNikitoka job leo napitia hapo..
Wewe ni mtu na heshima zako humu huwa nainjoi sana mkuu kufata kile usemacho ah ah ahaKawadanganye waliosinzia mkuuπ
ππππππ Alafu kwanini ulikimbia jukwa la siasa kule mkuuKweli unajua kuishi na kila mtu mastA umefuzu
Sio yote yakufuata mkuuπ za kuambiwa changanya na zako.Wewe ni mtu na heshima zako humu huwa nainjoi sana mkuu kufata kile usemacho ah ah aha
Mkuu, watu wakimya hawana kiburi bt wanaudhaifu wa kushindwa kujieleza, ambao husababisha waonekane kama wanakiburi.Mkuu pia unyenyekevu unaendana na ukimya ila pia ukimya una uhusiano wa damu na kiburi , kuna namna unyenyekevu una uhusiano wa kindugu na kiburi japo mama mmoja ila baba tofauti
ni kwel lakin zipo hali fulani ukimya unaweza kuendana na kiburi japo sio kila ukimya ni kiburi.Mkuu, watu wakimya hawana kiburi bt wanaudhaifu wa kushindwa kujieleza, ambao husababisha waonekane kama wanakiburi.