Humphrey Polepole andaa Suti

Mheshimiwa Balozi nikipata nauli nakuja kukupa hi hapo ubalozini,

Andaa Suti kabisa tusalimiane ukiwa tumevaa suti , ingae Kama ya Makatibu katibu wakuu fulan hivi


Aisee wanajukwaa Karibuni Moscow tupate vodka

Britanicca
Kiongozi how is Putin?
 
You Know! Leo ni AFISA UBALOZI 😁
 
Mheshimiwa Balozi nikipata nauli nakuja kukupa hi hapo ubalozini,

Andaa Suti kabisa tusalimiane ukiwa tumevaa suti , ingae Kama ya Makatibu katibu wakuu fulan hivi


Aisee wanajukwaa Karibuni Moscow tupate vodka

Britanicca
Tatizo kitengo ana onachahamishiwa kinambana
 
Okay. Huyu britanicca siyo wa kumfuatilia sana. Mwaka jana miezi fulani alituamimisha kuwa Paul Makonda amelishwa sumu na ameshakufa.

Tukapoteza muda kushangilia, kumbe ilikuwa FEKERO
Kumbe ulishangilia😂😂😂

Bwege kweli wewe😂😂😂
 
Polepole akikubali kurudi kushika cheo ccm..akili zake haziko sawa, baada ya kufanyiwa uhuni wote ule..kutolewa ubunge wakupewa, kuzuiwa kipindi cha kufundisha uongozi, kuvunjiwa nyumba na kupekuliwa ili kudhalilishwa..leo wameona unafaa tena..? ni km wana jambo baya, huwezi kukaa na watu wa aina hii ukadhani uko salama!
 
Ila Pole pole kwa haiba na matendo yake na mazungumzo yake ni mjamaa typical ...

Ataendana na hiyo kasi ya mixed economy?

Unless ni cheo tu, so he should comply and not much to be expected
CCM hata Mwijaku anaweza kuwa Makamu wa Rais, hawajali kitu. Wao kila kitu ni butua twende.
 
Wewe ukipewa una ubavu wa kukataa?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…