Humphrey Polepole andaa Suti

Humphrey Polepole andaa Suti

Mnyarwanda (Bahima Project) mwenye kujua siri nzito za yanayofanyika Ikulu na hata TISS.

Alafu kuna mtu anakuja kusema Tanzania tuko salama against Bahima Empire Project.

karibia nusu ya watanzania wote wanaukaribu na rwanda,burundi na uganda, wanaoitwa wanyamwezi sehemu kubwa walitokea uganda/rwanda ni museveni type, kagera kama yote bariadi na shy ndiyo usiseme kwa taarifa yako tu hata Mwalimu Nyerere asili yake ilikuwa ni hilo eneo na yeye ni hiyo unayoiita bahima empire ? hivyo sielewi unachomaanisha, we all came from somewhere, usisahau tanzagiza haiku exist kabla ya western Christians kuja hivyo hakuna mwenye hati miliki na wote waishio ndani ya hii mipaka wanastahili kuwepo …
 
Mheshimiwa Balozi nikipata nauli nakuja kukupa hi hapo ubalozini,

Andaa Suti kabisa tusalimiane ukiwa tumevaa suti , ingae Kama ya Makatibu katibu wakuu fulan hivi


Aisee wanajukwaa Karibuni Moscow tupate vodka

Britanicca
kazi yenu kuteua na kutengua tu hakuna kingine mnachokifanya kwenye nchi hii.

Labla kubwa nyie kupeana ulaji wakati kundi kubwa la watanzania wanalalia uji.

mlaaniwe mbwa nyie ( wanaccm wote)
 
Ila Pole pole kwa haiba na matendo yake na mazungumzo yake ni mjamaa typical ...

Ataendana na hiyo kasi ya mixed economy?

Unless ni cheo tu, so he should comply and not much to be expected
Angalia mfano wa China. Mmeaminishwa ujamaa.ni mbaya na wamagharibi. Kumbe wao maendeleo waliyopata ni kunyonya malighafi kutoka Afrika
 
Mheshimiwa Balozi nikipata nauli nakuja kukupa hi hapo ubalozini,

Andaa Suti kabisa tusalimiane ukiwa tumevaa suti , ingae Kama ya Makatibu katibu wakuu fulan hivi


Aisee wanajukwaa Karibuni Moscow tupate vodka

Britanicca
Nafasi gani???
 
Okay. Huyu britanicca siyo wa kumfuatilia sana. Mwaka jana miezi fulani alituamimisha kuwa Paul Makonda amelishwa sumu na ameshakufa.

Tukapoteza muda kushangilia, kumbe ilikuwa FEKERO
La nyamitako kupigwa sumu ilikuwa kweli ila la kufa ndiyo alichemsha.
 

Attachments

  • 30740.png
    30740.png
    293.5 KB · Views: 1
Angalia mfano wa China. Mmeaminishwa ujamaa.ni mbaya na wamagharibi. Kumbe wao maendeleo waliyopata ni kunyonya malighafi kutoka Afrika
True, Demokrasia ni tool of exploitation.

Wakikuchukia au wakiona una temper na maslah yao wanakutafutia mpinzani wako, wanampa nguvu anakutoa..then wanaita xxx decided 😀
 
Polepole has the potential to be a good president. Namkubali.
Sure Bora awamu ijayo wampe polepole anaweza kutuvusha somewhere maana wale wahuni alowasema kipindi wanakula teuzi mama akampuuza hata yeye mama alikuja kujionea mwenyewe
 
Back
Top Bottom