Uchaguzi 2020 Humphrey Polepole: Dkt. Magufuli atachukua fomu ya Urais 06 Agosti Dodoma. Mwanachama aliyepiga mazonge kwenye kura za maoni atashikishwa adabu

Njoo hapa chako ni chako ule kuku
Sijui ni kwanini wajumbe mnafiiaga chako ni chako changamkieni Pestana, 4G, Rainbow mbona chimbo kibao wajumbe, kuna nyumba pia za 50k perday badala ya kulala chako ni chako guest house
 
Hata huko kwa akina Donald John Trump na kwa akina Boris John son hawafanyi hivyo. Kwa nini huku kwa akina John Pombe watufanyie hivi? Dawa yao ni moja tu: tutaiweka kwenye sanduku la kura October 2020 ili watokomee mbali.

 
Kwa taarifa nilizopata usiku huu baada ya kuwasili hapa Dodoma ni kwamba wabunge wengi huenda wakafyekelewa mbali licha ya kuongoza kwenye kura za maoni..

Kwanini wasipelekwe mahakamani kwakujihusisha na vitendo vya rushwa ambalo ni kosa la jinai wakikatwa kwenye list ndo inatosha wakati ushahidi mnao sasa rushwa itakujakukomeshwa kweli kwa style hiyo.
 
Hata madhumuni ya kuanzisha mfumo wa vyama vingi vya kisiasa hawayajui na hawataki kuyajua. Ustaarabu kwao ni jambo lisilowezekana!
 
Kwa taarifa nilizopata usiku huu baada ya kuwasili hapa Dodoma ni kwamba wabunge wengi huenda wakafyekelewa mbali licha ya kuongoza kwenye kura za maoni...
Una kichaa kama yule Bwana, unasemaje? Hakuna mwenye ubavu wa kuwaengua, hayupo katu ndani ya CCM!
 
Kwa taarifa nilizopata usiku huu baada ya kuwasili hapa Dodoma ni kwamba wabunge wengi huenda wakafyekelewa mbali licha ya kuongoza kwenye kura za maoni...
Walau naona ladha ya Mzee Vuta nikuvute, tupatupa wa Lumumba
 
Ccm pigeni spana woote lakn Dk faustine ngugulile shujaaa wetu hajatoa hata senti naona mnatuandaa kisaikolojia
 
Ccm pigeni spana woote lakn Dk faustine ngugulile shujaaa wetu hajatoa hata senti naona mnatuandaa kisaikolojia

Kuna nini hapa, mbona utetezi wa Dk.Faustine umezidi? This should serve as a wake up call kwamba mwenendo wa upigaji kura za maoni Kigamboni zifanyiwe uchunguzi wa kina, kuna kitu pale si bure.
 
Naona unapiga pasi zile rangi za migomba..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…