Humphrey Polepole for future presidency

Humphrey Polepole for future presidency

Leo serikali mbili kesho serikali tatu
Jana katiba mpya muhimu leo haina umuhimu
Sichanji corona kuna miti shamba inatibu
Jana siwataki viongozi wa Chadema kesho anahonga waunge mkono juhudi
Huyo ni Chakubanga kwenye ubora wake rais mtarajiwa (sijui wa chama gani)
..... itaendelea
Uzuri wa huyu Jemedari wetu (si maanishi wa CCM, bali vijana afichi uzushi) hizo hoja za kuunga kuunga ameweka speech zake kwa kina. Kilichobaki ni watu kuutafuta ukweli alichosema.
 
Uwezi kumuelewa if you are 40+ na mnufaikaji wa mfumo wa sasa.

Kwa wengine anapigana vita yetu dhidi ya mafisadi.
Muundieni chama atakachopitia kupata urais.
Sami 40+
Kikwete 40+
Mangula 40+

CCM yenyewe 40+
Sera za mavieite zinawazuzua ninyi watoto.
 
Hata Tff kubwa sana kwa polepole
Sisi vijana wa kesho tunamuelewa namna anavyoweka maisha yake dhamana kwa Tanzania ya kesho.

Muhimu ni kumwambia tunamuelewa asikate tamaa.
 
Muundieni chama atakachopitia kupata urais.
Sami 40+
Kikwete 40+
Mangula 40+

CCM yenyewe 40+
Sera za mavieite zinawazuzua ninyi watoto.
Yeye mwenyewe 40+

Lengo la mada ni kumkumbusha asijione yupo pekee vijana tunaelewa vita yake dhidi ya wahuni.

Na kwa umri wake kwenda chini hakuna anaefaa kuongoza dhidi yake.
 
Merry Xmas to all JF members

and God bless Polepole

Mungu awabariki wote nawatakia sikukuu njema.🙏🙏🙏
 
Kwenu nyie wa ovyo, kwa sisi vijana Polepole ni hadhi ya raisi au katibu mkuu kiongozi.

Siwezi kuwasemea wengine, ila mimi kama kijana nina imani na uongozi wa Polepole.

Polepole anauthubutu mungu atulindie huyu kiongozi.

Merry Xmas and happy new year
Wewe na Hao vijana wa wapi na wakati nikiwa kama kijana kinda kabisa naona polepole Chakubanga ni mchumia tumbo tu ana njaa hapaswi apewe mamlaka makubwa ataumiza watu Kama Kwa yule mshamba aliyelala chattle Hekaluni,
Hatutaki kuongozwa na masikini wa Mali mpaka akili ni hatari Kwa mstakabari wa Nchi watatupoteza Bora hata lile genge la msoga Elimu na exposure wanayo sababu ni watoto wa mjini na deals zote za wahuni wanazijua na kuweza kuzidhibiti
Watu pori hatuwataki mtatupoteza!
 
Kwa wanasiasa wote Polepole ndio aina ya watu ambao wametengenezwa kutuongoza kesho yetu vijana.

Polepole for future presidency

#kataawahuni

Mungu tulindie Polepole dhidi ya wahuni

Vijana tupo tayari kwa uongozi wa Polepole kwa nafasi yoyote
Akina Ndalichako wameharibu elimu huenda na huyu kiazi ni graduate
 
Kwa wanasiasa wote Polepole ndio aina ya watu ambao wametengenezwa kutuongoza kesho yetu vijana.

Polepole for future presidency

#kataawahuni

Mungu tulindie Polepole dhidi ya wahuni

Vijana tupo tayari kwa uongozi wa Polepole kwa nafasi yoyote
Taifa la vichaa
 
Kwa wanasiasa wote Polepole ndio aina ya watu ambao wametengenezwa kutuongoza kesho yetu vijana.

Polepole for future presidency

#kataawahuni

Mungu tulindie Polepole dhidi ya wahuni

Vijana tupo tayari kwa uongozi wa Polepole kwa nafasi yoyote
Sasa kama mnataka kuwa marais simumuache mwenzenu aongoze nchi kwa Utulivu!!!
 
Back
Top Bottom