Humphrey Polepole huijui CCM wewe

Unasema hivyo kama nani?
Pamoja na yote kaka yetu Komredi Polepole hakustahili kuwa KATIBU MWENEZI WA CCM....

Funzo limepatikana.....

Huko mbele makosa hayatojirudia.....
 
N
yi wachawi wa ccm mnajuana.
 
Pamoja na yote kaka yetu Komredi Polepole hakustahili kuwa KATIBU MWENEZI WA CCM....

Funzo limepatikana.....

Huko mbele makosa hayatojirudia.....
Nani alistaili? Tuiangalie CCM katibu mwenezi akiwa Polepole na tuiqngalie CCM Nape akiwa katibu mwenezi! Hipi CCM iliyoimara?
 
CCM is just like a green Snake in the green Grass! It is an invisible creature in some areas but it can bite you anytime.
Umeipamba sana, acha hiyo, CCM ni mashetani kama shetani wengine, inawekwa madarakani na polisi, haina lolote katu! Ni nyepesi kama ubua, haina lolote!
 
Wewe jiongeze achana na akili zako ndogo hizo za KICHADEMA! CCM ni habari nyingine!
Umeipamba sana, acha hiyo, CCM ni mashetani kama shetani wengine, inawekwa madarakani na polisi, haina lolote katu! Ni nyepesi kama ubua, haina lolote
 
Nani alistaili? Tuiangalie CCM katibu mwenezi akiwa Polepole na tuiqngalie CCM Nape akiwa katibu mwenezi! Hipi CCM iliyoimara?
Uimara kwenye nini?!!!

CCM ilikuwa "one man show"....

Mzee baba ni hayati JPM pekee aliyekuwa nyota wa mchezo...unabisha?!!😁
 
Uimara kwenye nini?!!!

CCM ilikuwa "one man show"....

Mzee baba ni hayati JPM pekee aliyekuwa nyota wa mchezo...unabisha?!!

CCM ya Nyerere nyota wa mchezo alikuwa nani?
CCM ya Mwinyi nyota wa mchezo alikuwa nani?
CCM ya Mkapa nyota wa mchezo alikuwa nani?
CCM ya Kikwete nyota wa mchezo alikuwa nani?
CCM ya Samia nyota wa mchezo mpaka sasa nani?

Juzi gazeti la mwananchi limeriport "Shughuli za Chadema zakwama bila Mbiwe" Nyota wa mchezo pale Chadema ni nani?

Kwanini hamtaki Mbowe aachie uenyekiti? Nyota wa mchezo Chadema ni nani?
 
Mugambo wanaruka na kukanyagana
 
Mkuu, mbona sifa hizo ulizotaja kuhusu ccm ni sifa za lucifer, aliyemdanganya Adam na Hawa pale bustanini? unataka kutuelimisha nini kuhusu ccm?
 
Pili, kumjulisha Polepole kuwa haijui CCM! CCM is just like a green Snake in the green Grass!
anaijua fika na ndiyo maana alikuwa bado ataendelea kukisema anachokiamini kwamba ni sahihi kwa CCM, kwa ufupi tu ni kwamba hayupo peke yake - huyu si kama yule aliyesema anajiandaa kwa kazi ya ukampeni manager.
 
Ushindi au uporaji?? Ngoja aisome namba sasa na mwenzake Bashiru. Uzuri wa haya mambo unalipwa hapa hapa duniani [emoji12][emoji12]
 
Acha upotoshaji. Dhamira yoyote ya chama cha siasa ni kuchukua dola. Polepole amefanikisha ushindi wa wabunge wengi wa CCM ambao hawana maslahi na wananchi.

Sio mtu wa kubezwa. 2025 wengi wa wabunge wa CCM mizigo kule mjengoni watamkumbuka.
Na dhamira ya mwanasiasa mwerevu ni ipi? Yeye alibugi sana na kushindwa ku balance politics zake kwa siku zijazo wakati yeye bado kijana. Yaani kwa akili yake alidhani mwendazake is there to stay.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ushindi upi ?!!!

Ushindi wa kuwachukua "covid 19"?!?[emoji1787][emoji1787]

Haya mkuu......
Na strategies za kindezi za kununua wanachama na kuteka na kutesa wanaharakati...
 
Kwanza punguza haraka, fanya nenda taratibu,
Hicho unachokitaka, mwishowe utaharibu,
Kisha ichunge mipaka, isije yakakusibu,
Ili uwe na baraka, liendee polepole.


Ajabu umechomoka, mithili ule mshale,
Kwa siri ukatoroka, ukasahau ya kale,
Na huko kufokafoka, huwezi kufika pale,
Kama wataka baraka, liendee polepole.


Muda wa kupambazuka, na watu wangali macho,
Ndio wakumbuka shuka, ujifunikie kwacho,
Heri kunyoa kusuka, kipaji hauko nacho,
Ili uwe na baraka, liendee polepole.



Wakatabahu
DustBin
 
Hujafafanua, polepole iwe na spidi ya miles/hour ngapi vile!???

NB: Kwa wengine 120km/h bado ni polepole 🙂
 
Huu uoga ungekuwepo wewe mwaka 1961 tusingepata uhuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…