Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,705
- 4,703
Nilimtegemea kiongozi huyu mpenda kusema awe hewahi kuwaelekeza wenye uhitaji wa kugombea nafasi mbali mbali za majimbo ndani ya CCM wafanye nini. Naona yuko kimya baada ya mkutano mkuu. Nini kimempata? Au ni baada ya kugundua rushwa imetawala sasa yuko hoi?
Ninawategemea vyama vya upinzani pia waamke na kujinadi kwa nguvu maana bila hivyo, CCM itawalaza kwa kutosikika. Badala ya kutangaza kugombea Ubunge Mbowe, Mbatia, Zitto, nk. nilitegemea kusikia vyama vyao zaidi. Muko wapi ninyi wakati wenzenu wanatajwa kila kona? Au munajidai kuwa na mbinu za kisayansi! Sayansi gani hiyo?
Ninawategemea vyama vya upinzani pia waamke na kujinadi kwa nguvu maana bila hivyo, CCM itawalaza kwa kutosikika. Badala ya kutangaza kugombea Ubunge Mbowe, Mbatia, Zitto, nk. nilitegemea kusikia vyama vyao zaidi. Muko wapi ninyi wakati wenzenu wanatajwa kila kona? Au munajidai kuwa na mbinu za kisayansi! Sayansi gani hiyo?