Humphrey Polepole na USEMI wa 'Mfalme mzee mjinga'

Humphrey Polepole na USEMI wa 'Mfalme mzee mjinga'

Lakini yeye alifanikisha mpaka rasimu ikafikishwa bungeni.
KOSA ni la akina Ndugai,Lissu,Lipumba,Mbowe,Zitto,Mnyika,na wabunge (wajumbe wenye vyama )kwa kuendekeza kwao ubishi hadi bunge likavunjika
Labda ! Lakini Nina mashaka naye !
 
Itoshe kusema tu kuwa polepole ni maskini kama maskini wengine ndo maana anahangaika hovyo hana kitu. Ni uzalendo upi aliouonyesha kwa Taifa labda majivuno ya kutembelea ma V8 aliyokuwa akijivunia kipindi cha mungu mtu.
Narudia tena kipindi chenu kimekwisha kubalini uhalisia uliopo kazi iendelee.
Hakijaisha ndio kwaaanza kinaanza,nyie endeleeni kuvilamba miguu hivyo vizee
 
Hii tabia ya wanasiasa kutokuwa na misimamo thabiti ndo inafanya kuaminiwa inakuwa ngumu, anaongea hiki Leo then hujui kesho kama ataamka na msimamo ule ule,sasa kuwashikia mapanga na marungu cc hatuwez kilichobaki tunapeleka kilio chetu kwa karma tu basi.
KARMA NDIO MPANGO MZIMA !!
 
Labda ! Lakini Nina mashaka naye !
Hebu fikiria vizuri! Mambo yanayoendele.Tukae kimya huku rasilimali zikifaidiwa na wachache?
Hawa vibabu ndio walotufikisha hapa! na bado wanatupumbaza.
Polepole kaonyesha njia kama kijana
 
Hakuna mwenye akili anaweza kumwunga mkono mtu mnafiki kama Polepole.

1) Wakati akiwa mjumbe kwenye tume ya Warioba, alisema nini kuhusu katiba mpya?

2) Aliposhibishwa tumbo na Magufuli alisema nini kuhusu katiba mpya?

3) Alipokuwa mjumbe wa Tume ya Katiba alisema nini kuhusu maDC na maRC?

4) Aliposhibishwa tumbo kwa kupewa uDC, alisema nini kuhusiana na kazi za DC?

Mtunafiki, anayeongea kwa kutegemea siku hiyo tumbo limejaa au lina njaa, naye ni wa kumfikiria kuwa anaweza kutoa mchango wa maana? Polepole ni mnafiki, mwongo, na asiye na chochote anachosimamia.
In shot polepole anaongozwa na mkuno wa njaa ya tumbo..
 
Lakini yeye alifanikisha mpaka rasimu ikafikishwa bungeni.
KOSA ni la akina Ndugai,Lissu,Lipumba,Mbowe,Zitto,Mnyika,na wabunge (wajumbe wenye vyama )kwa kuendekeza kwao ubishi hadi bunge likavunjika

Tunasema hivi,
nikwanini msimamo wake kuhusu umuhimu wa kupata katiba mpya ulipiga U-turn baada yayeye kupata power under JPM.
 
Huyuhuyu aliyenunua wale wabunge?!!!

Huyuhuyu aliyewaahidi kuteuliwa wale "viti maalum"?!!!😳😳😳
 
Habari wanajamvi!
Nimemsikiliza kijana mwenzetu ndugu POLEPOLE katika hoja zake nyingi sana na mwisho hapa juzi akihojiwa.
IKANIBIDI nirudishe nyuma kumbukumbu hadi kipindi cha mchakato katiba mpya ulioongozwa na mzee wetu WARIOBA.

Katika ile tume,POLEPOLE alipewa ''airtime'' sana kupewa mialiko katika mijadala mbalimbali kuhusu rasimu ile.
Hata wanasiasa hasa chadema huyu alikuwa lulu kwao.

Nadhani hata kipenzi chetu MAGUFULI(RIP) alibaini kitu ndani yake akapenda kufanya nae kazi.

NINAAMINI kwa nafasi alizokuwa nazo kama ni fedha(mkwanja)anao na maisha tunayotamani wengi tayari ameshayavuka.

NIKAJIULIZA kama ndivyo nini kinamsumbua/kumuwasha kuzungumzia/kutetea hayo anayoyatetea? Kwanini asikae kimya tu aendelee na maisha yake? Mbona wenzake akina MAKONDA,BASHIRU nk wapo kimya?

LABDA nikiri wazi kwenye kipindi cha juzi katika wanahabari bora na makini kwa Tanzania yetu ni pamoja na yule kijana,lakini kwa kumwalika POLEPOLE nadhani hata yeye aliona kaingia kwenye msitu mwingine.
NIKIMAANISHA kilichoulizwa kilikuwa madini na kilichojibiwa madini.

Kuna usemi niliwahi usikia ''HERI YA KIJANA MDOGO MWENYE BUSARA KULIKO MFALME MZEE MPUMBAVU''

Katika tafakuri yangu nimebaini kuwa POLEPOLE ni kijana SHUJAA na MZALENDO wa kweli.
Na ndio maana anajitokeza hadharani kutoa mitizamo yake hata kama kuna watu wanaumizwa nayo.

ANA MAISHA maisha mazuri lakini kutokana na roho ya kizalendo alonayo anaona hivyo vyote si kitu ila awafungue na wengine bila kujali atafanywa nini.

KINGINE nimejiridhisha pasi na shaka kuwa CHADEMA hakifai kuwa mbadala wa CCM licha ya kuwa sasa NCHI inahitaji msaada wa mawazo mapya na chama kipya na sura mpya.

Namfananisha POLEPOLE na kijana mdogo mwenye busara.

Nawafanisha wale waliohudhuria kule kama wafalme wazee.

Wakati ni sasa vijana tuamke,hawa wazee wamefikia ukomo.

TUMUUNGE mkono POLEPOLE,tupinge kwa dhati matendo yanayoliangamiza taifa.(sio kupingapinga tu au kusifisifia tu.

NASIMAMA NA POLEPOLE.

NB:Kiitikadi mimi ni CCM tena timu MAGUFULI
Huyu Bwana slowslow NAMKUBARI SANAAAA
 
Habari wanajamvi!
Nimemsikiliza kijana mwenzetu ndugu POLEPOLE katika hoja zake nyingi sana na mwisho hapa juzi akihojiwa.
IKANIBIDI nirudishe nyuma kumbukumbu hadi kipindi cha mchakato katiba mpya ulioongozwa na mzee wetu WARIOBA.

Katika ile tume,POLEPOLE alipewa ''airtime'' sana kupewa mialiko katika mijadala mbalimbali kuhusu rasimu ile.
Hata wanasiasa hasa chadema huyu alikuwa lulu kwao.

Nadhani hata kipenzi chetu MAGUFULI(RIP) alibaini kitu ndani yake akapenda kufanya nae kazi.

NINAAMINI kwa nafasi alizokuwa nazo kama ni fedha(mkwanja)anao na maisha tunayotamani wengi tayari ameshayavuka.

NIKAJIULIZA kama ndivyo nini kinamsumbua/kumuwasha kuzungumzia/kutetea hayo anayoyatetea? Kwanini asikae kimya tu aendelee na maisha yake? Mbona wenzake akina MAKONDA,BASHIRU nk wapo kimya?

LABDA nikiri wazi kwenye kipindi cha juzi katika wanahabari bora na makini kwa Tanzania yetu ni pamoja na yule kijana,lakini kwa kumwalika POLEPOLE nadhani hata yeye aliona kaingia kwenye msitu mwingine.
NIKIMAANISHA kilichoulizwa kilikuwa madini na kilichojibiwa madini.

Kuna usemi niliwahi usikia ''HERI YA KIJANA MDOGO MWENYE BUSARA KULIKO MFALME MZEE MPUMBAVU''

Katika tafakuri yangu nimebaini kuwa POLEPOLE ni kijana SHUJAA na MZALENDO wa kweli.
Na ndio maana anajitokeza hadharani kutoa mitizamo yake hata kama kuna watu wanaumizwa nayo.

ANA MAISHA maisha mazuri lakini kutokana na roho ya kizalendo alonayo anaona hivyo vyote si kitu ila awafungue na wengine bila kujali atafanywa nini.

KINGINE nimejiridhisha pasi na shaka kuwa CHADEMA hakifai kuwa mbadala wa CCM licha ya kuwa sasa NCHI inahitaji msaada wa mawazo mapya na chama kipya na sura mpya.

Namfananisha POLEPOLE na kijana mdogo mwenye busara.

Nawafanisha wale waliohudhuria kule kama wafalme wazee.

Wakati ni sasa vijana tuamke,hawa wazee wamefikia ukomo.

TUMUUNGE mkono POLEPOLE,tupinge kwa dhati matendo yanayoliangamiza taifa.(sio kupingapinga tu au kusifisifia tu.

NASIMAMA NA POLEPOLE.

NB:Kiitikadi mimi ni CCM tena timu MAGUFULI

Habari wanajamvi!
Nimemsikiliza kijana mwenzetu ndugu POLEPOLE katika hoja zake nyingi sana na mwisho hapa juzi akihojiwa.
IKANIBIDI nirudishe nyuma kumbukumbu hadi kipindi cha mchakato katiba mpya ulioongozwa na mzee wetu WARIOBA.

Katika ile tume,POLEPOLE alipewa ''airtime'' sana kupewa mialiko katika mijadala mbalimbali kuhusu rasimu ile.
Hata wanasiasa hasa chadema huyu alikuwa lulu kwao.

Nadhani hata kipenzi chetu MAGUFULI(RIP) alibaini kitu ndani yake akapenda kufanya nae kazi.

NINAAMINI kwa nafasi alizokuwa nazo kama ni fedha(mkwanja)anao na maisha tunayotamani wengi tayari ameshayavuka.

NIKAJIULIZA kama ndivyo nini kinamsumbua/kumuwasha kuzungumzia/kutetea hayo anayoyatetea? Kwanini asikae kimya tu aendelee na maisha yake? Mbona wenzake akina MAKONDA,BASHIRU nk wapo kimya?

LABDA nikiri wazi kwenye kipindi cha juzi katika wanahabari bora na makini kwa Tanzania yetu ni pamoja na yule kijana,lakini kwa kumwalika POLEPOLE nadhani hata yeye aliona kaingia kwenye msitu mwingine.
NIKIMAANISHA kilichoulizwa kilikuwa madini na kilichojibiwa madini.

Kuna usemi niliwahi usikia ''HERI YA KIJANA MDOGO MWENYE BUSARA KULIKO MFALME MZEE MPUMBAVU''

Katika tafakuri yangu nimebaini kuwa POLEPOLE ni kijana SHUJAA na MZALENDO wa kweli.
Na ndio maana anajitokeza hadharani kutoa mitizamo yake hata kama kuna watu wanaumizwa nayo.

ANA MAISHA maisha mazuri lakini kutokana na roho ya kizalendo alonayo anaona hivyo vyote si kitu ila awafungue na wengine bila kujali atafanywa nini.

KINGINE nimejiridhisha pasi na shaka kuwa CHADEMA hakifai kuwa mbadala wa CCM licha ya kuwa sasa NCHI inahitaji msaada wa mawazo mapya na chama kipya na sura mpya.

Namfananisha POLEPOLE na kijana mdogo mwenye busara.

Nawafanisha wale waliohudhuria kule kama wafalme wazee.

Wakati ni sasa vijana tuamke,hawa wazee wamefikia ukomo.

TUMUUNGE mkono POLEPOLE,tupinge kwa dhati matendo yanayoliangamiza taifa.(sio kupingapinga tu au kusifisifia tu.

NASIMAMA NA POLEPOLE.

NB:Kiitikadi mimi ni CCM tena timu MAGUFULI

Sukuma gang bana mnavituko sana, eti nchi inahitaji chama kipya mbadala na sio cdm. Hicho chama mbona hakianzi kila siku mnasoma tu upepo? Anzisheni hicho chama ndio mtajua wananchi wanafahamu uzalendo ni upi, na ujinga kwa kichaka cha uzalendo ni upi. Kichekesho ni pale mnapidhani zile propaganda mfu za Polepole kuwa ni mzalendo zimetuchota ufahamu.
 
Kumuona Slowslow kwamba ni potential man mwenye kitu impactful kwa nchi yetu ni uzwazwa na ukilaza uliopitiliza. Huyu kwa madaraka ya muda mfupi tu chini ya jiwe alionyesha udhaifu wa msimamo na uongozi kuliko yeyote yule katika historia ya nchi hii. Alilewa mavietee akiwa hajielewi hajitambui. Mtoa nada wacha kujidhalilisha.
 
Kumuona Slowslow kwamba ni potential man mwenye kitu impactful kwa nchi yetu ni uzwazwa na ukilaza uliopitiliza. Huyu kwa madaraka ya muda mfupi tu chini ya jiwe alionyesha udhaifu wa msimamo na uongozi kuliko yeyote yule katika historia ya nchi hii. Alilewa mavietee akiwa hajielewi hajitambui. Mtoa nada wacha kujidhalilisha.
 
Habari wanajamvi!
Nimemsikiliza kijana mwenzetu ndugu POLEPOLE katika hoja zake nyingi sana na mwisho hapa juzi akihojiwa.
IKANIBIDI nirudishe nyuma kumbukumbu hadi kipindi cha mchakato katiba mpya ulioongozwa na mzee wetu WARIOBA.

Katika ile tume,POLEPOLE alipewa ''airtime'' sana kupewa mialiko katika mijadala mbalimbali kuhusu rasimu ile.
Hata wanasiasa hasa chadema huyu alikuwa lulu kwao.

Nadhani hata kipenzi chetu MAGUFULI(RIP) alibaini kitu ndani yake akapenda kufanya nae kazi.

NINAAMINI kwa nafasi alizokuwa nazo kama ni fedha(mkwanja)anao na maisha tunayotamani wengi tayari ameshayavuka.

NIKAJIULIZA kama ndivyo nini kinamsumbua/kumuwasha kuzungumzia/kutetea hayo anayoyatetea? Kwanini asikae kimya tu aendelee na maisha yake? Mbona wenzake akina MAKONDA,BASHIRU nk wapo kimya?

LABDA nikiri wazi kwenye kipindi cha juzi katika wanahabari bora na makini kwa Tanzania yetu ni pamoja na yule kijana,lakini kwa kumwalika POLEPOLE nadhani hata yeye aliona kaingia kwenye msitu mwingine.
NIKIMAANISHA kilichoulizwa kilikuwa madini na kilichojibiwa madini.

Kuna usemi niliwahi usikia ''HERI YA KIJANA MDOGO MWENYE BUSARA KULIKO MFALME MZEE MPUMBAVU''

Katika tafakuri yangu nimebaini kuwa POLEPOLE ni kijana SHUJAA na MZALENDO wa kweli.
Na ndio maana anajitokeza hadharani kutoa mitizamo yake hata kama kuna watu wanaumizwa nayo.

ANA MAISHA maisha mazuri lakini kutokana na roho ya kizalendo alonayo anaona hivyo vyote si kitu ila awafungue na wengine bila kujali atafanywa nini.

KINGINE nimejiridhisha pasi na shaka kuwa CHADEMA hakifai kuwa mbadala wa CCM licha ya kuwa sasa NCHI inahitaji msaada wa mawazo mapya na chama kipya na sura mpya.

Namfananisha POLEPOLE na kijana mdogo mwenye busara.

Nawafanisha wale waliohudhuria kule kama wafalme wazee.

Wakati ni sasa vijana tuamke,hawa wazee wamefikia ukomo.

TUMUUNGE mkono POLEPOLE,tupinge kwa dhati matendo yanayoliangamiza taifa.(sio kupingapinga tu au kusifisifia tu.

NASIMAMA NA POLEPOLE.

NB:Kiitikadi mimi ni CCM tena timu MAGUFULI
Ulipokosea kuileta chadema kwny swala lingine kabisa
 
Hebu fikiria vizuri! Mambo yanayoendele.Tukae kimya huku rasilimali zikifaidiwa na wachache?
Hawa vibabu ndio walotufikisha hapa! na bado wanatupumbaza.
Polepole kaonyesha njia kama kijana
Na yeye akiwa mmoja wa hao, maana alisema katiba haina umuhimu baada ya mrija wake kuungwa kwenye bomba. Akasahau kuwa nchi inahitaji katiba maana kutegemea kudra za maamuzi ya aliyeko madarakani kesho asipokuwepo inakuaje.
 
Kumuona Slowslow kwamba ni potential man mwenye kitu impactful kwa nchi yetu ni uzwazwa na ukilaza uliopitiliza. Huyu kwa madaraka ya muda mfupi tu chini ya jiwe alionyesha udhaifu wa msimamo na uongozi kuliko yeyote yule katika historia ya nchi hii. Alilewa mavietee akiwa hajielewi hajitambui. Mtoa nada wacha kujidhalilisha.
Alianza hata kujitapa kuhusu ma V8. Ama kweli pata pesa tujue tabia yako
 
Sukuma gang bana mnavituko sana, eti nchi inahitaji chama kipya mbadala na sio cdm. Hicho chama mbona hakianzi kila siku mnasoma tu upepo? Anzisheni hicho chama ndio mtajua wananchi wanafahamu uzalendo ni upi, na ujinga kwa kichaka cha uzalendo ni upi. Kichekesho ni pale mnapidhani zile propaganda mfu za Polepole kuwa ni mzalendo zimetuchota ufahamu.
Mkuu katika sehemu ambayo chadema ilionekana kama mkombozi kwa wananchi ni katika hili hili analozungumzia HUMPHREY (ufisadi).
Ilipoacha tu kuzungumzia na ikapoteza mvuto kwa kiasi fulani.
ZITTO FILIKUNJOMBE(RIP) walipata kuaminiwa na wananchi walipoonyesha kupambana(kuwaibua)mafisadi lakini alipokumbwa na kashfa ya rushwa na yeye wananchi wamempuuza.
MAGUFULI(shujaa wa afrika) amekubalika sababu ni hiyohiyo.
POLEPOLE kaja na ajenda ya ufisadi mnambeza mnadai eti aliisaliti katiba,wakati rasimu alipoleta bungeni mkajiundia kikundi cha kutoka nje mkakiita UKAWA.
Mkafanyaa vurugu mpaka bunge likavunjwa.
LEO mnalilia katiba mpya tena.Ni mjinga tu ndiye atajiunga au kusapoti hicho chama chenu
 
Habari wanajamvi!
Nimemsikiliza kijana mwenzetu ndugu POLEPOLE katika hoja zake nyingi sana na mwisho hapa juzi akihojiwa.
IKANIBIDI nirudishe nyuma kumbukumbu hadi kipindi cha mchakato katiba mpya ulioongozwa na mzee wetu WARIOBA.

Katika ile tume,POLEPOLE alipewa ''airtime'' sana kupewa mialiko katika mijadala mbalimbali kuhusu rasimu ile.
Hata wanasiasa hasa chadema huyu alikuwa lulu kwao.

Nadhani hata kipenzi chetu MAGUFULI(RIP) alibaini kitu ndani yake akapenda kufanya nae kazi.

NINAAMINI kwa nafasi alizokuwa nazo kama ni fedha(mkwanja)anao na maisha tunayotamani wengi tayari ameshayavuka.

NIKAJIULIZA kama ndivyo nini kinamsumbua/kumuwasha kuzungumzia/kutetea hayo anayoyatetea? Kwanini asikae kimya tu aendelee na maisha yake? Mbona wenzake akina MAKONDA,BASHIRU nk wapo kimya?

LABDA nikiri wazi kwenye kipindi cha juzi katika wanahabari bora na makini kwa Tanzania yetu ni pamoja na yule kijana,lakini kwa kumwalika POLEPOLE nadhani hata yeye aliona kaingia kwenye msitu mwingine.
NIKIMAANISHA kilichoulizwa kilikuwa madini na kilichojibiwa madini.

Kuna usemi niliwahi usikia ''HERI YA KIJANA MDOGO MWENYE BUSARA KULIKO MFALME MZEE MPUMBAVU''

Katika tafakuri yangu nimebaini kuwa POLEPOLE ni kijana SHUJAA na MZALENDO wa kweli.
Na ndio maana anajitokeza hadharani kutoa mitizamo yake hata kama kuna watu wanaumizwa nayo.

ANA MAISHA maisha mazuri lakini kutokana na roho ya kizalendo alonayo anaona hivyo vyote si kitu ila awafungue na wengine bila kujali atafanywa nini.

KINGINE nimejiridhisha pasi na shaka kuwa CHADEMA hakifai kuwa mbadala wa CCM licha ya kuwa sasa NCHI inahitaji msaada wa mawazo mapya na chama kipya na sura mpya.

Namfananisha POLEPOLE na kijana mdogo mwenye busara.

Nawafanisha wale waliohudhuria kule kama wafalme wazee.

Wakati ni sasa vijana tuamke,hawa wazee wamefikia ukomo.

TUMUUNGE mkono POLEPOLE,tupinge kwa dhati matendo yanayoliangamiza taifa.(sio kupingapinga tu au kusifisifia tu.

NASIMAMA NA POLEPOLE.

NB:Kiitikadi mimi ni CCM tena timu MAGUFULI
Umejiweka bayana wewe ni mtafuta pesa hauna wito wa kuwatumikia wananchi ndio maana unashangaa huyo unayemshambulia kwamba amekosa nini hadi kuanza kukosoa.

Hayupo kwa ajili ya kutafuta pesa ila kuhakikisha watanzania wanapata haja ya moyo wao sivyo walivyo wapigaji na madili mnawaza kupiga kama wewe
 
Alianza hata kujitapa kuhusu ma V8. Ama kweli pata pesa tujue tabia yako
Tatizo mnaongozwa na chuki na visasi.Mfuatilie vizuri POLEPOLE akiwa kiongozi wa ccm. Alikuwa anakibadili chama taratiibu na alishaanza kufanikiwa.
 
In short ni kwamba Kwa maisha yale aliyoishi na Magufuli na speech zake za kipindi kile
Ni dhahiri hakuna mtu mnafiki kama POLEPOLE
NI Opportunist flani hivi
 
Back
Top Bottom