Eti anasema Zzk hajui hesabu!mahesabu ya kutoa😀
Nadhani zile buku tano tano ndizo zimeimeza 1.5 trilioni,wala usibishane hao LB5We utaendelea kuwa jinga mpaka unaingia kaburini umelaaniwa
zamani nilikuwa naogopa ban lakini sasa siogopi kuna raia humu wanaleta uzwazwa na mie nakomaa nao mtu anaanza kukutukana from no where kisha anareport ajabu mod watakupa ban wewe uliyemjibu kudadadeki zao hata waoJamany polee mamii[emoji8] [emoji8]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] achana nao baby wasikubabaishezamani nilikuwa naogopa ban lakini sasa siogopi kuna raia humu wanaleta uzwazwa na mie nakomaa nao mtu anaanza kukutukana from no where kisha anareport ajabu mod watakupa ban wewe uliyemjibu kudadadeki zao hata wao
Nawasilisha.
Kama ulivyo wew mnafiki na boss wenu polepole unashangilia tu ili ujaze tumbo huku ukweli ukibaki nafsiniWanasema ni bora kuwa na adui unayemjua kuliko kuwa na rafiki anaye jificha(mnafiki)
H.Pole Pole amemnyoosha Zito na kumuacha kibwebwe nje
Form 4 mbali sana kindergateni tu anamuelewa kuwa polepole amepotoka anachokifanya ni kutetea nafasi yake.Mtoto wa form four ana uwezo wa kuelewa hoja za polepole?
huyu polepole kwanza kaharibu gazeti la uhuruNawasilisha.
Kwa vipi ndg?H.Pole Pole amemnyoosha Zito na kumuacha kibwebwe nje
Hujawahi soma science... electric circuits zinatumia logic kuwasha complex systems!Mimi naangalia scientific connection ....in science we do not believe in logic...but facts....Humphrey PolePole katimia facts Zitto alitumia logic
Taarifa zake Zito ni za kupotosha...!Polepole anachofanya ni kuuweka ukweli bayana.!Yaani Polepole akamfunze Mwami ZZK? Hii itakuwa ajabu kweli.
Nilichoona kwake ni tambo na ujinga ujinga mwingi tu.
Ushuzi wako unatoa harufu Kali mnoH.Pole Pole amemnyoosha Zito na kumuacha kibwebwe nje
Taifa linaangamizwa na watu kama weweH.Pole Pole amemnyoosha Zito na kumuacha kibwebwe nje