Humphrey Polepole ni nani?

Humphrey Polepole ni nani?

Huyu Msukuma Humphrey Polepole is running scared. He decided to surrender his brain in order to please his Master.That's how all cowards do. He don't have balls.Kichwa boksi tu pale kimebaki. He's dead long.
 
Ngumu kukupa jibu maana haeleweki ni kijana au mzee. Ila uzee upunguza kumbukumbu na uwezo wa kuelewa, nikipata jibu la swali la kwanza nitakujibu
 
Mimi nashauri tumfanyie Maombi kijana mwenzetu, maana kujitoa kule ufahamu sio kwa kawaida......Maana hata ukimuangalia anayoongea unajua kabisa kuna tatizo mahali.
 
Ulichojibu hapa kina ' logical connection ' yoyote ile na ' thread content ' yangu? Hukukosea ID yako kuiita ' Jingalao '. Heko!
Mimi naangalia scientific connection ....in science we do not believe in logic...but facts....Humphrey PolePole katimia facts Zitto alitumia logic
 
Jamani mnaposema kuwa kilaza polepole kamuonyesha zitto fact wakati mwenyekiti wa PAC kasema kuwa walipewa siku 21 maafisa masuhuli wapinge taarifa ya CAG siku zote hizo serikarili ya malaika ilishindwa kuonyesha hizo 1.5T ime kwenda wapi? leo kilaza polepole anakuja na fact za uongo ambao ata mtanzania ambaye ajasoma anajuwa polepole anatetea tumbo
 
H.Pole Pole amemnyoosha Zito na kumuacha kibwebwe nje
Baada ya kibwebwe Cha Zitto kuanguka Prof. Assad akamuwahi fasta kumfunika nguo ya enzi kuu, kwa kuthibitisha usahihi wa maneno ya Zitto pale alipohojiwa na Charles Hilary wa Azam TV kizalendo zaidi ...

Huku akimuacha kishuzi wazi ndg. Yangu Polepole mchana kweupeee!!!

Aibu ilioje hiii ...
 
Jamani mnaposema kuwa kilaza polepole kamuonyesha zitto fact wakati mwenyekiti wa PAC kasema kuwa walipewa siku 21 maafisa masuhuli wapinge taarifa ya CAG siku zote hizo serikarili ya malaika ilishindwa kuonyesha hizo 1.5T ime kwenda wapi? leo kilaza polepole anakuja na fact za uongo ambao ata mtanzania ambaye ajasoma anajuwa polepole anatetea tumbo
Sasa Polepole anawasaidia kuendeleza mjadala wakati wako busy wanapika data ili kubalance mahesabu ..........!!
 
Back
Top Bottom