GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wanasema ni bora kuwa na adui unayemjua kuliko kuwa na rafiki anaye jificha(mnafiki)
Hapa ukiwa unamaanisha nini labda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasema ni bora kuwa na adui unayemjua kuliko kuwa na rafiki anaye jificha(mnafiki)
Mtoto wa form four ana uwezo wa kuelewa hoja za polepole?Dah unatia huruma kwa uwezo wako wakufikiri. Yani ile press ya jana ata mtoto wa form four alimdharau pole pole.
MmhhH.Pole Pole amemnyoosha Zito na kumuacha kibwebwe nje
H.Pole Pole amemnyoosha Zito na kumuacha kibwebwe nje
Mimi naangalia scientific connection ....in science we do not believe in logic...but facts....Humphrey PolePole katimia facts Zitto alitumia logicUlichojibu hapa kina ' logical connection ' yoyote ile na ' thread content ' yangu? Hukukosea ID yako kuiita ' Jingalao '. Heko!
Baada ya kibwebwe Cha Zitto kuanguka Prof. Assad akamuwahi fasta kumfunika nguo ya enzi kuu, kwa kuthibitisha usahihi wa maneno ya Zitto pale alipohojiwa na Charles Hilary wa Azam TV kizalendo zaidi ...H.Pole Pole amemnyoosha Zito na kumuacha kibwebwe nje
Yaani Polepole akamfunze Mwami ZZK? Hii itakuwa ajabu kweli.Polepole kasimama kwenye misingi,kamuumbua Mh Zito...na kumpa elimu.
Facts na data...
jamaa anasema 2-7 haiwezekani sijui alisomea wapi hesabu?njaa mkk, halafu kuna video nimeona sijui anafundisha kutoa nimecheka sana
Hahahaa..... Umenikumbusha pure mathematics!jamaa anasema 2-7 haiwezekani sijui alisomea wapi hesabu?
Ulichojibu hapa kina ' logical connection ' yoyote ile na ' thread content ' yangu? Hukukosea ID yako kuiita ' Jingalao '. Heko![/QU
Hahaha kukaa kimya napo ni busara, jingalao lime kurupuka tuu..,
Sasa Polepole anawasaidia kuendeleza mjadala wakati wako busy wanapika data ili kubalance mahesabu ..........!!Jamani mnaposema kuwa kilaza polepole kamuonyesha zitto fact wakati mwenyekiti wa PAC kasema kuwa walipewa siku 21 maafisa masuhuli wapinge taarifa ya CAG siku zote hizo serikarili ya malaika ilishindwa kuonyesha hizo 1.5T ime kwenda wapi? leo kilaza polepole anakuja na fact za uongo ambao ata mtanzania ambaye ajasoma anajuwa polepole anatetea tumbo
Niko ni jinga, liache hivyo hivyoUlichojibu hapa kina ' logical connection ' yoyote ile na ' thread content ' yangu? Hukukosea ID yako kuiita ' Jingalao '. Heko!
Njaa kaliNawasilisha.
Anafundisha nini mkuu?njaa mkk, halafu kuna video nimeona sijui anafundisha kutoa nimecheka sana