Humphrey Polepole ni nani?

I
Nachoelewa sekondari alisoma Azania akaondoka na Division O mwaka 1999 o-level hiyo.
Si kwel mkuu,polepole tulimaliza nae o'level Azania mwaka 2000 na hakupata ziro,Kama alizungusha labda A'level Benjamin Mkapa
 
Si kwel mkuu,polepole tulimaliza nae o'level Azania mwaka 2000 na hakupata ziro,Kama alizungusha labda A'level Benjamin Mkapa
Mimi hilo nililoandika hapo kabla ndilo ninalolielewa. Sasa wewe umuulize akueleze ilikuwaje afanye mtihani wa o-level mara mbili, alitumia mbinu gani ili wanafunzi wa sasa wanaondoka na Division 0 na wao watumie. . Ni kweli nilichoandika.
 
I
Nachoelewa sekondari alisoma Azania akaondoka na Division O mwaka 1999 o-level hiyo.
Harufu anavyojifanya kujua Mambo kumbe ni zero brain,Magufuli yeye matokeo yake yakoje wadau mbona anapenda sana kufanya kazi na hawa watu,je ni wenzake?
 
Mimi hilo nililoandika hapo kabla ndilo ninalolielewa. Sasa wewe umuulize akueleze ilikuwaje afanye mtihani wa o-level mara mbili, alitumia mbinu gani ili wanafunzi wa sasa wanaondoka na Division 0 na wao watumie. . Ni kweli nilichoandika.
Ni mwaka 2000 ndo alimaliza o'level Azania,lebel nyeusi
 
Ni mwaka 2000 ndo alimaliza o'level Azania,lebel nyeusi
Hayo mambo ya label achana nayo. Kwani hata mimi naweza kukwambia ni label ya kijani, au sio? Kama una contact zake mtafute ili akueleze ,ilikuwaje akapata favour ya kufanya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne, tena katika shule ile ile aliyopatia division zero kwa mara ya pili.
 
Polepole ni hazina inayopaswa kulindwa , anapambana kisawasawa na upotoshaji unafanywa na wapuuzi wasiyoitakia mema nchi hii.

Bila shaka ameshajenga uadui kati yake na majambazi hawa. Mungu amlinde daima.
Hadi Leo unayaamini hayaaa?
 
Hahahaha, hivi wewe lijamaa kumbe umekutwa na nini ? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
You are on the wrong side of history.
 
that one is a genious,siku zote anajua anachokifanya na angekua mtu wa kupenda sifa watu wangeshamskia kwenye siasa bt he keeps a low profile ila ukipata nafasi ya kufanya nae kazi utajua kwamba ni kichwa tofauti sana..
Aaah hii komenti ilinichekesha sana
 
Nadhani sasa ndio umemjua vema .

Njaa haina Baunsa
 
Huyu mtu binafsi nimemwelewa sana japo yeye mwenyewe aliwahi kutamka wazi wazi yeye ni mwanachama wa CCM haswa lakini nimemuona amesimama kwenye ukweli zaidi kuliko kwenye siasa ,ameitumia elimu yake ipasavyo na baadhi yetu wananchi tumemwelewa
Swali ni Je Kikwete alimuokota wapi mtu huyu ?
 
Polepole ni hazina inayopaswa kulindwa , anapambana kisawasawa na upotoshaji unafanywa na wapuuzi wasiyoitakia mema nchi hii.

Bila shaka ameshajenga uadui kati yake na majambazi hawa. Mungu amlinde daima.
Hali ipoje sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…