Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japo nilikuwa na haraka jana sikumsikiliza sana, ila alikuwa anajenga hoja vizuri on Star Tv - than Mwingulu, anyway mimi bado sijaona sababu ya UKAWA kususa, I thought - wangewatumia watu kama hawa akina polepole "wakiwa nje ya bunge", and then wakati wa debate bungeni wawe wanatoa ufafanuzi wenye details kama hizi, badala ya njia waliyochukua, UKAWA wengi naona hawakujindaa kwa hoja instead walikimbilia mkenge wa mipasho na matokeo yake wamekimbilia hoja ya Intarahamwe eti CCM ni wengi, anyway tusubiri tuone movie
Ni sahihi na busara kabisa Profesa Baregu kukaa kimya kwa sasa. Akiongea tutashindwa kujua anaongea kama mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Warioba au Kiongozi mwandamizi wa CHADEMA na sasa UKAWA.mie mwenyewe nashangaa kina Mwesiga baregu kukaa kimya
Jamaa amewashinda maprof uchwara
Dr. Mvungi alikuwa kikwazo kwa haya wanayotaka CCM hii leo ili kuondoa udhia WAKAMUA ushahidi wa kuhusika huku kwa hawa jamaa ni ile movie ya KOVA kwenda kwenye vyombo vya habari na kuonyesha Bendera na Kofia zenye rangi za CDM kuwa ndio walizokamatwa nazo wahusika wa tukio lile lakini baadae tukasikia matamko kuwa Familia na wahusika wamesamehe mungu atawahukumu waliohusika na ndio ukawa mwisho wa ufuatiliaji wa tukio lile na hata wale tulioambiwa wamekamatwa sijawahi kusikia mwendelezo wa kesi ile.
Kwa hiki anachokifanya bwn polepole ni vema akajilinda na hawa wauaji kwani wanaweza kumziba mdomo kwa kumkatisha uhai wake ili waendelee na hizi sarakasi zao za kupindua maoni ya wananchi na hapa ndipo ninapoona uhalisia wa hili jina CHAMA CHA MAPINDUZI
mwenye contact zake atuwekee hewani, huku kwetu tunaandaa mdaharo wa vijana kujitambua tunataka tumpe mada. Mwenye mawasiliano ayaweke kwenye inbox yangu
usitake niwaze unachowaza na kufikiri wewe:third:
MKUU MPAKA SASA HUJAONA SABABU YA UKAWA KUTOKA NJE?, BADO HUJAJUA KWANINI TUME YA MZEE WARIOBA ILIVUNJWA HARAKA HARAKA???????????
ni mwanachama mtiffu wa ccm,,,na hii ndio demokrasia pana ya ccm sio ya kupga magoti na kutopingana mawazo ya chadema
jamaa ana element za kinyerere mimi nashauri tumbatize jina la MWALIMU NYERERE
Uwezo wake ni sawa na wajumbe wote wa bunge la katiba ukimwondoa Tundu LisuPolepole ni jembe
Jamaa alikuwa ni mjumbe ktk tume ya warioba.Hakika dhamira aliyonayo na anavyoichambua rasimu utatambua tu wabunge wanajadili vitu ambavyo hawavielewi.
waza kwa uhuru wako, kisha jibu maswali hayo!usitake niwaze unachowaza na kufikiri wewe
Kile kichwa ni noma tulio soma Azania sec tunamfahamu vizuri sana!
selfish