Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Zito ni mchumi na ana degree. Pole pole ana degree ya nini na ni nani by professional ??????????Mtoto wa form four ana uwezo wa kuelewa hoja za polepole?
HahahahaUlichojibu hapa kina ' logical connection ' yoyote ile na ' thread content ' yangu? Hukukosea ID yako kuiita ' Jingalao '. Heko!
Kwani zamani alikuwaje? Yule kijana anavaaga shela halafu anafunga ndoa nani yule joot kuna siku alibadilika kuwa bibi? Ni bwana mpk kufa kwakeNawasilisha.
Humphrey Polepole, mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amekuwa mstari wa mbele kutoa maelezo, ufafanuzi na kukabiliana kwa hoja na Wapinzani wa rasimu katiba iliyowasilishwa.
Kipekee nampongeza sana kwani tume ilikuwa na wajumbe wengi lakini wengine wako kimya ila Bwana Polepole amekabiliana nao na anaendelea kukabiliana nao dhidi ya upotoshaji, kwangu mimi Bw Polepole anastahili tunzo ya heshima.
Nawakaribisha wadau kwa maoni.
Huyu slowslow kapotosha zaidi kwa uhasibu wa kukaririshwa.Taarifa zake Zito ni za kupotosha...!Polepole anachofanya ni kuuweka ukweli bayana.!
Mtoto wa form four ana uwezo wa kuelewa hoja za polepole?
bado unasimamia kauli yako?Polepole ni hazina inayopaswa kulindwa , anapambana kisawasawa na upotoshaji unafanywa na wapuuzi wasiyoitakia mema nchi hii. Bila shaka ameshajenga uadui kati yake na majambazi hawa. Mungu amlinde daima.
Ha ha ha ha........katakuwa kababu aisee.HIVI HUYO NI KIJANA AU NI MZEE?
Inabidi tupate msaada wa wataalam wa mifupa kujua ukweliHa ha ha ha........katakuwa kababu aisee.
Kuna kitu unatafuta wewe si bure..!Huyu kwangu namwita kijana shujaa katikati ya wanyama wakali na mchukulia kama kijana wakuingwa ndani ya taifa letu Tanganyika aka Tanzania nihazina kubwa sana hongera sana kijana Polepole
Alikuwa nzuri sana wakati ule na wengine tulimkubali, lakini hivi sasa ameyageuka yale aliyoyaamini na kuyapigania amekuwa his master's voice!Humphrey Polepole, mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amekuwa mstari wa mbele kutoa maelezo, ufafanuzi na kukabiliana kwa hoja na Wapinzani wa rasimu katiba iliyowasilishwa.
Kipekee nampongeza sana kwani tume ilikuwa na wajumbe wengi lakini wengine wako kimya ila Bwana Polepole amekabiliana nao na anaendelea kukabiliana nao dhidi ya upotoshaji, kwangu mimi Bw Polepole anastahili tunzo ya heshima.
Nawakaribisha wadau kwa maoni.
Ni mchumia tumbo, aliyekuwa akiandaa mazingira ya tumbo lake kula vizuri. Ni mpuuzi, mzandiki, mlafi na mtu anayetumia tumbo kufikiri kuliko kichwaHumphrey Polepole, mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amekuwa mstari wa mbele kutoa maelezo, ufafanuzi na kukabiliana kwa hoja na Wapinzani wa rasimu katiba iliyowasilishwa.
Kipekee nampongeza sana kwani tume ilikuwa na wajumbe wengi lakini wengine wako kimya ila Bwana Polepole amekabiliana nao na anaendelea kukabiliana nao dhidi ya upotoshaji, kwangu mimi Bw Polepole anastahili tunzo ya heshima.
Nawakaribisha wadau kwa maoni.
Viapo vingine unaweza kuvikataa. Eti "...daima..."Polepole ni hazina inayopaswa kulindwa , anapambana kisawasawa na upotoshaji unafanywa na wapuuzi wasiyoitakia mema nchi hii. Bila shaka ameshajenga uadui kati yake na majambazi hawa. Mungu amlinde daima.
Njoo umsifia tenaHuyu kwangu namwita kijana shujaa katikati ya wanyama wakali na mchukulia kama kijana wakuingwa ndani ya taifa letu Tanganyika aka Tanzania nihazina kubwa sana hongera sana kijana Polepole