Humphrey Polepole ni nani?

Humphrey Polepole ni nani?

Ubongo wa polepole upo kwenye mchakato wa "evolution" toka kuwa "mentally fit" kuelekea kuwa "mentally retarded"
 
mtu akiongea ukweli amebadilishwa ubongo....kweli bongo tambalale Mungu atutetee.
 
Mtoto wa form four ana uwezo wa kuelewa hoja za polepole?
Mkuu Zito ni mchumi na ana degree. Pole pole ana degree ya nini na ni nani by professional ??????????
Itatusaidia kujua ni nani anashindwa kumuelewa mwenzake!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nashindwa kuelewa Polepole ni katibu mwenezi wa chama kwann anaongelea taaluma za watu kwani ndio msemaji wa serikali??
 
Kujitoa ufahamu na mtaa wa tumbo Wahenga wanasema kuganga njaa.

Humphrey Polepole, mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amekuwa mstari wa mbele kutoa maelezo, ufafanuzi na kukabiliana kwa hoja na Wapinzani wa rasimu katiba iliyowasilishwa.

Kipekee nampongeza sana kwani tume ilikuwa na wajumbe wengi lakini wengine wako kimya ila Bwana Polepole amekabiliana nao na anaendelea kukabiliana nao dhidi ya upotoshaji, kwangu mimi Bw Polepole anastahili tunzo ya heshima.

Nawakaribisha wadau kwa maoni.
 
Polepole ni hazina inayopaswa kulindwa , anapambana kisawasawa na upotoshaji unafanywa na wapuuzi wasiyoitakia mema nchi hii. Bila shaka ameshajenga uadui kati yake na majambazi hawa. Mungu amlinde daima.
bado unasimamia kauli yako?
 
Huyu kwangu namwita kijana shujaa katikati ya wanyama wakali na mchukulia kama kijana wakuingwa ndani ya taifa letu Tanganyika aka Tanzania nihazina kubwa sana hongera sana kijana Polepole
Kuna kitu unatafuta wewe si bure..!
 
Humphrey Polepole, mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amekuwa mstari wa mbele kutoa maelezo, ufafanuzi na kukabiliana kwa hoja na Wapinzani wa rasimu katiba iliyowasilishwa.

Kipekee nampongeza sana kwani tume ilikuwa na wajumbe wengi lakini wengine wako kimya ila Bwana Polepole amekabiliana nao na anaendelea kukabiliana nao dhidi ya upotoshaji, kwangu mimi Bw Polepole anastahili tunzo ya heshima.

Nawakaribisha wadau kwa maoni.
Alikuwa nzuri sana wakati ule na wengine tulimkubali, lakini hivi sasa ameyageuka yale aliyoyaamini na kuyapigania amekuwa his master's voice!
 
Humphrey Polepole, mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amekuwa mstari wa mbele kutoa maelezo, ufafanuzi na kukabiliana kwa hoja na Wapinzani wa rasimu katiba iliyowasilishwa.

Kipekee nampongeza sana kwani tume ilikuwa na wajumbe wengi lakini wengine wako kimya ila Bwana Polepole amekabiliana nao na anaendelea kukabiliana nao dhidi ya upotoshaji, kwangu mimi Bw Polepole anastahili tunzo ya heshima.

Nawakaribisha wadau kwa maoni.
Ni mchumia tumbo, aliyekuwa akiandaa mazingira ya tumbo lake kula vizuri. Ni mpuuzi, mzandiki, mlafi na mtu anayetumia tumbo kufikiri kuliko kichwa
 
Polepole ni hazina inayopaswa kulindwa , anapambana kisawasawa na upotoshaji unafanywa na wapuuzi wasiyoitakia mema nchi hii. Bila shaka ameshajenga uadui kati yake na majambazi hawa. Mungu amlinde daima.
Viapo vingine unaweza kuvikataa. Eti "...daima..."
 
Huyu kwangu namwita kijana shujaa katikati ya wanyama wakali na mchukulia kama kijana wakuingwa ndani ya taifa letu Tanganyika aka Tanzania nihazina kubwa sana hongera sana kijana Polepole
Njoo umsifia tena
 
Back
Top Bottom