Humphrey Polepole ni nani?

Humphrey Polepole ni nani?

Watu kwenye ma CV yao kuanzia chipukizi kupitia jeshi kutumikia chama toka ngazi za chini,kusomea sayansi na utawala ndani na nje ya nchi,kusimama na kukijenga chama wakati kinaanguka Leo wanakalishwa na machalii walobebwa na ukanda,chalii na kadegeree ka ushirika moshi,aliyeshindwa hata kuisimamia katiba aliyotafutia umaarufu, aliyetushawishi hadharani tusiichague ccm baadae akabadilika kisa mtu kama kawaida yake. Leo anafukuza watu eti hawana maadili,Leo eti anakijua chama saana kuliko wakongwe,na wanachama wanamtetemekea!!?? Ndotujue elimu yetu inashida kubwa paali...haitufanyi kujiongeza kufikia mahali yeyote tuu anaweza kuwa rais na akasifiwa hata anapoharibu maisha yawatu! acha tuteseke tuu hamna namna! MTU anatesti tuu cheo kikuuubwa anaula kweli.
 
Chakubanga yupi?

Wapo wawili. Yule wa Katiba mpya timamu na huyu wa mbogamboga asiyejitambua kabisa.
 
Humphrey Polepole, mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amekuwa mstari wa mbele kutoa maelezo, ufafanuzi na kukabiliana kwa hoja na Wapinzani wa rasimu katiba iliyowasilishwa.

Kipekee nampongeza sana kwani tume ilikuwa na wajumbe wengi lakini wengine wako kimya ila Bwana Polepole amekabiliana nao na anaendelea kukabiliana nao dhidi ya upotoshaji, kwangu mimi Bw Polepole anastahili tunzo ya heshima.

Nawakaribisha wadau kwa maoni.
Huu uzi ungefutwa, tuzo ya heshima hastaili tena kuipata sababu kawasaliti wananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
FB_IMG_1584778698643.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humphrey Polepole, mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amekuwa mstari wa mbele kutoa maelezo, ufafanuzi na kukabiliana kwa hoja na Wapinzani wa rasimu katiba iliyowasilishwa.

Kipekee nampongeza sana kwani tume ilikuwa na wajumbe wengi lakini wengine wako kimya ila Bwana Polepole amekabiliana nao na anaendelea kukabiliana nao dhidi ya upotoshaji, kwangu mimi Bw Polepole anastahili tunzo ya heshima.

Nawakaribisha wadau kwa maoni.
Vipi bado unamwelewa mpaka sasa?[emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom