Humphrey Polepole ni nani?

Humphrey Polepole ni nani?

Nataka kujua Curriculum vitae (CV) ya huyu anayejiita Karibu wa Itikadi wa CCM ambaye kutwa kucha anatukana watu kutwa kucha. CV ainaweza kusaidia angalau kukadiria uwezo wa IQ yake.
Nilivyosikia alimaliza A-level Benjamen Mkapa sekondari DSM, akawa anauza duka la vyombo la shangazi yake badaye akaenda Chuo cha Maendeleo ya Jamii TENGERU-Arusha akasoma Cheti mwaka moja, akaendelea diploma miaka miwili na akamalizia Advance diploma ya ma Maendeleo ya Jamii hapo hapo Tengeru.

Alisota sana mtaani baadae nikamsikia kwenye NGO moja hapo DSM, miaka kadhaa nikamsikia Tume ya katiba akiwalikilisha Asasi za kiraia. Hapo ndio mwanzo wa maisha yake ilipochomwa.

Kuhusu siasa ndio kaanza juzi 2015 alipoibuka baada ya kumtukana sana mzee Mamvi. Alipewa Ukuu wa Wilaya Tarime na Ubungo na kisha baadaye ndiyo kapewa nafasi aliyo nayo sasa.
 
Nataka kujua Curriculum vitae (CV) ya huyu anayejiita Karibu wa Itikadi wa CCM ambaye kutwa kucha anatukana watu kutwa kucha. CV ainaweza kusaidia angalau kukadiria uwezo wa IQ yake.
Hicho kibabu slow slow kiliteuliwa kutoka jalalani na muokota makopo, hivyo usitegemee kupata cha maana kwenye elimu yake...

Cha msingi jitahidi kulinda jamii ako isije kutengeneza watu kama polepole, ni aibu na fedhea kubwa mno...
 
Nataka kujua Curriculum vitae (CV) ya huyu anayejiita Karibu wa Itikadi wa CCM ambaye kutwa kucha anatukana watu kutwa kucha. CV ainaweza kusaidia angalau kukadiria uwezo wa IQ yake.
Yaani wamebaki kutukana njia nzima kama walevi wa gongo
 
Humphrey Polepole, mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amekuwa mstari wa mbele kutoa maelezo, ufafanuzi na kukabiliana kwa hoja na Wapinzani wa rasimu katiba iliyowasilishwa.

Kipekee nampongeza sana kwani tume ilikuwa na wajumbe wengi lakini wengine wako kimya ila Bwana Polepole amekabiliana nao na anaendelea kukabiliana nao dhidi ya upotoshaji, kwangu mimi Bw Polepole anastahili tunzo ya heshima.

Nawakaribisha wadau kwa maoni.
Kama angepewa tuzo ya heshima naona kwa alivyo Sasa ingebidi avuliwe.
 
Ukisoma huu uzi utagundua vijana wa chadema wote walikuwa wanampenda polepole kabla hawajabadili gia angani
 
Ukisoma huu uzi utagundua vijana wa chadema wote walikuwa wanampenda polepole kabla hawajabadili gia angani
Polepole alipendwa na kila mpenda haki wakati wa mchakato wa katiba mpya, Polepole kama kinyonga alibadirika ghafla na kuyakana mwaoni na mawazo yake ya wakati wa mchakato wa katiba mpya, huo ukawa mwisho wa umaarufu wake.
 
Polepole alipendwa na kila mpenda haki wakati wa mchakato wa katiba mpya, Polepole kama kinyonga alibadirika ghafla na kuyakana mwaoni na mawazo yake ya wakati wa mchakato wa katiba mpya, huo ukawa mwisho wa umaarufu wake.

Screenshot 2021-03-23 at 13.28.06.png
 
Back
Top Bottom