Humphrey Polepole: Tunathamini marafiki zetu wote kama Taifa la Tanzania, tunawaheshimu na kuwapenda. Tunatarajia watuheshimu kama Taifa Huru

Humphrey Polepole: Tunathamini marafiki zetu wote kama Taifa la Tanzania, tunawaheshimu na kuwapenda. Tunatarajia watuheshimu kama Taifa Huru

Leo kutoka ofisi za chama cha mapinduzi Lumumba jijini Dar es Salaam, Katibu mwenezi wa chama cha mapinduzi, Humphrey Polepole anaongea kuhusu mambo yaliyojadiliwa kwenye kikao cha kamati kuu kilichoketi jana mjini Dodoma, kuwa nami..
=======

Polepole: Sisi kama chama mapinduzi tunawaahidi watanzania tutachapa kazi kuliko hata muhula uliopita, CCM kiko mstari wa mbele kuisimamia Serikali kuhakikisha yote tuliyowaahidi tunatekeleza. Tuna siku 1825 na hatuna muda wa kupoteza.

Siku ya jana iliketi kamati kuu ya halmashauri kuu Taifa ya CCM chini ya uenyekiti wa John Magufuli jijini Dodoma makao makuu ya chama na Serikali. Kwanza imetoa pongezi nyingi sana kwa ndugu Hemedi Suleiman Abdullah, makamu wa pili wa Rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar.

Pia siku ya jana uteuzi wa baraza la mawaziri na kama kauli ya Rais ya Magufuli ameendelea kusisitiza , tuna kazi moja tu kwa watanzania kwa kipindi hiki, kuchapa kazi, kuwapatia utumishi uliotukuka ili tuweze kulipa deni kubwa ambalo watanzania wametupatia katika uchaguzi huu wa mwaka 2020.

AGENDA
  1. Kuthibitisha wa uteuzi wa wagombea wa nafasi za Meya wa jiji, Tanzania bara majiji sita
  2. Meya wa manispaa 20 za Tanzania Bara
  3. Wagombea wa nafasi za uenyekiti wa halmashauri za wilaya 137 za Tanzania Bara
  4. Kuthibitisha uteuzi wa nafasi za wagombea wa wenyeviti wa halmshauri za miji 22 Tanzania bara
=======

POLEPOLE: Ndugu watanzania msihangaishwe na kauli za hapa na pale, vikauli kauli hivi vya kuonesha kana kwamba, haya mambo ni ya kupuuza, sasa hivi tunataka tuchape kazi. Tuna kazi ya kuzalisha ajira nyingi(Milioni 8). Tuko vizuri mno, tunathamini marafiki wetu wote kama Taifa la Tanzania, tunawaheshimu na kuwapenda na tunatarajia na wao pia watuheshimu na kutupenda sisi kama Taifa huru na linalojitegemea.

Tutaendelea kutoa ushirikiano mkubwa kama ambavyo tumeainisha kwenye ilani ya CCM katika eneo la mahusiano ya kimataifa, tuna kazi kubwa ya kuimarisha sekta binafsi, kujenga uchumi imara, himilivu lakini pia jumuishi kwa maana hiyo mahusiano ya kimataifa kwetu jambo la msingi sana lakini tunafanya hivyo tukiangalia maslahi mapana ya Tanzania kwanza na yasiyokwenda kinyume na tamaduni zetu, taratibu zetu na desturi.
Taifa huru lipi? Hakuna uhuru wa habari na wa kisiasa iweje aseme Tanzania ni Nchi huru?
 
Kwani hawakumsikia rais aliposema yeye hataki mikopo ya corona?
Hao nao wanajikutaga wana akili ila safari hii wamekutana na mwamba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tofautisha mkopo na msaada. Mkopo unaufanyia utakalo, ila msaada unafata masharti yake.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Kweli, Sasa Mbowe nae aeleze zile 8.9 billion mishahara ya wabunge alitumiaje.
Anza na trilion 1.5 ilyotafunwa na CCM kienyeji mpaka wakamtoa CAG kafara kwa njia haramu za kishetani na pia umuulize zilipo zile bilion 251 wizara ya ujenzi zilizolipwa makandarasi hewa
 
Tanzania haina corona, sijui hizo hela wamefanyia nini.
Naogopa kutumia Lugha ya Matusi.. ila ningekupa tusi moja zito..

Nyinyi wakati wa COVID-19 mlisema wa Tz watakufa kama nzi.. mkasema watu bado wanakufa.. mkasema COVID-19 bado ipo.. ila wagonjwa hawatangazwi..

Sahiv.. kwa UNAFKI wenu mnabadirika.. mnasema Covid-19 haipo.. Tuwaeleweje?

Punguzeni ushabiki wa kipumbavu
 
Tofautisha mkopo na msaada. Mkopo unaufanyia utakalo, ila msaada unafata masharti yake.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Msaada wenye masharti.
Sasa wanatulazimisha tuwe na CORONA😂😂😂au ndio wamechukia sababu hatuna CORONA 😁😁😁
Magufuli amewavuruga hawana hamu
 
Yale mapipa ya "maji tiririka" kwa kila shule, mtaa, Kijiji, vituo vya mabasi, nk pia vituo vya kupokea wagonjwa vilivyoandaliwa nchi nzima ambapo watumishi wa afya maaskari na madreva mf. hostel za JPM pale UDSM umadhani zilikiwa zinaendeshwa kwa pesa ipi? Pesa ya EU ilitumika hapo na vielelezo vipo tunawatumia. Common sense: sijawahi kuona mtu ameshindwa konyesha hesabu ya matumizi, hesabu ya mapato ndiyo huwa ngumu Sana!
Really mmenunua Sanitizer!!
 
Naogopa kutumia Lugha ya Matusi.. ila ningekupa tusi moja zito..

Nyinyi wakati wa COVID-19 mlisema wa Tz watakufa kama nzi.. mkasema watu bado wanakufa.. mkasema COVID-19 bado ipo.. ila wagonjwa hawatangazwi..

Sahiv.. kwa UNAFKI wenu mnabadirika.. mnasema Covid-19 haipo.. Tuwaeleweje?

Punguzeni ushabiki wa kipumbavu

John Pombe Magufuli kawaaibisha sana
Sasa Hivi wanahofia marais wengine wakifuata nyayo zake afrika haitokua shamba lao tena
 
Naogopa kutumia Lugha ya Matusi.. ila ningekupa tusi moja zito..

Nyinyi wakati wa COVID-19 mlisema wa Tz watakufa kama nzi.. mkasema watu bado wanakufa.. mkasema COVID-19 bado ipo.. ila wagonjwa hawatangazwi..

Sahiv.. kwa UNAFKI wenu mnabadirika.. mnasema Covid-19 haipo.. Tuwaeleweje?

Punguzeni ushabiki wa kipumbavu
Upumbavu ni kupiga pesa za corona kienyeji kwa njia haramu za kishetani siyo vinginevyo
 
Leo kutoka ofisi za chama cha mapinduzi Lumumba jijini Dar es Salaam, Katibu mwenezi wa chama cha mapinduzi, Humphrey Polepole anaongea kuhusu mambo yaliyojadiliwa kwenye kikao cha kamati kuu kilichoketi jana mjini Dodoma, kuwa nami..
=======

Polepole: Sisi kama chama mapinduzi tunawaahidi watanzania tutachapa kazi kuliko hata muhula uliopita, CCM kiko mstari wa mbele kuisimamia Serikali kuhakikisha yote tuliyowaahidi tunatekeleza. Tuna siku 1825 na hatuna muda wa kupoteza.

Siku ya jana iliketi kamati kuu ya halmashauri kuu Taifa ya CCM chini ya uenyekiti wa John Magufuli jijini Dodoma makao makuu ya chama na Serikali. Kwanza imetoa pongezi nyingi sana kwa ndugu Hemedi Suleiman Abdullah, makamu wa pili wa Rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar.

Pia siku ya jana uteuzi wa baraza la mawaziri na kama kauli ya Rais ya Magufuli ameendelea kusisitiza , tuna kazi moja tu kwa watanzania kwa kipindi hiki, kuchapa kazi, kuwapatia utumishi uliotukuka ili tuweze kulipa deni kubwa ambalo watanzania wametupatia katika uchaguzi huu wa mwaka 2020.

AGENDA
  1. Kuthibitisha wa uteuzi wa wagombea wa nafasi za Meya wa jiji, Tanzania bara majiji sita
  2. Meya wa manispaa 20 za Tanzania Bara
  3. Wagombea wa nafasi za uenyekiti wa halmashauri za wilaya 137 za Tanzania Bara
  4. Kuthibitisha uteuzi wa nafasi za wagombea wa wenyeviti wa halmshauri za miji 22 Tanzania bara
=======

POLEPOLE: Ndugu watanzania msihangaishwe na kauli za hapa na pale, vikauli kauli hivi vya kuonesha kana kwamba, haya mambo ni ya kupuuza, sasa hivi tunataka tuchape kazi. Tuna kazi ya kuzalisha ajira nyingi(Milioni 8). Tuko vizuri mno, tunathamini marafiki wetu wote kama Taifa la Tanzania, tunawaheshimu na kuwapenda na tunatarajia na wao pia watuheshimu na kutupenda sisi kama Taifa huru na linalojitegemea.

Tutaendelea kutoa ushirikiano mkubwa kama ambavyo tumeainisha kwenye ilani ya CCM katika eneo la mahusiano ya kimataifa, tuna kazi kubwa ya kuimarisha sekta binafsi, kujenga uchumi imara, himilivu lakini pia jumuishi kwa maana hiyo mahusiano ya kimataifa kwetu jambo la msingi sana lakini tunafanya hivyo tukiangalia maslahi mapana ya Tanzania kwanza na yasiyokwenda kinyume na tamaduni zetu, taratibu zetu na desturi.
Hivi huyu sura kavu na mbaya Polepole si afe tu tupumzishwe na huu upuuzi anaongea kila siku!
 
Naogopa kutumia Lugha ya Matusi.. ila ningekupa tusi moja zito..

Nyinyi wakati wa COVID-19 mlisema wa Tz watakufa kama nzi.. mkasema watu bado wanakufa.. mkasema COVID-19 bado ipo.. ila wagonjwa hawatangazwi..

Sahiv.. kwa UNAFKI wenu mnabadirika.. mnasema Covid-19 haipo.. Tuwaeleweje?

Punguzeni ushabiki wa kipumbavu

Wewe ndio mpumbavu ambaye unatumia mihemko katika kuchangia mada.

Kwanza unaposema "nyinyi mlisema", hao nyinyi ni mimi na nani?

Anyway, tuliache ilo.

Masharti ya upokeaji wa zile hela, ni kwamba statistics za ugonjwa na wagonjwa viwekwe wazi, kwavile corona haipo tz, na data hazijawekwa, hela zimefanyia nn?

Alaf mkuu naomba usini quote tena kama unareply kwa jazba na mihemko. Angalia niliokuwa nawaquote au waliokuwa wananiquote kabla yako jinsi tulivyokuwa tunachat vizuri.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Msaada wenye masharti.
Sasa wanatulazimisha tuwe na CORONA[emoji23][emoji23][emoji23]au ndio wamechukia sababu hatuna CORONA [emoji16][emoji16][emoji16]
Magufuli amewavuruga hawana hamu
Offer siku zote inaendana na vigezo na masharti [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Mmepewa hela mnaulizwa mmefanyia nini?

Ohh sisi ni nchi huru...

Bro umeulizwa swali jibu!

Mnaiba kura na kuua watu,unaulizwa,oooh sisi ni nchi huru!

Mkipewa pesa za msaada,ooh nyie ni washirika wetu wa maendeleo na tunawapenda sana njooni"....

Mkinyimwa hela "ooh nyie mabeberu tu"....

Mtakua ni bipolar kabisa
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada kwa wazungu huwaita wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu wizi ufisadi wa CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani CCM ni mbuzi jike, Hakuna Nchi huru inayoiba pesa za misaada kienyeji kwa njia haramu kama Serikali ya CCM
 
Back
Top Bottom