Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,081
Mungu aliingia ndani ya Tangawizi?Mungu hakuitibu corona moja kwa moja mungu alikaa kwenye tangawizi limau na nyungu kwani watanzania walitumia hivyo viungo kwa bidii kubwa na mungu kuvibariki pia,bila bidii ya nyungu tangawizi limau kwa wingi corona ingekuwa umeleta maafa Tanzania
Umemiss pointWakome
Hapa kama tumetatua Tatizo limeisha TUENDELEE tu kutoa Hamasa wakati tushajua siri iliyo nyuma ya Covid-19?Walau sasa unabehave kama mtu mzima, tunaweza jadiliana.
1. Mara ya mwisho walisema kuna wagonjwa chini ya 10 nchi nzima. Ambao pia wanaendelea vzr. Tokea hapo hakujawa na ripoti mpya, na pia tahadhari hakuna tena, hata uhamasishaji wa kujilinda haupo tena.
Hatukujua? Wewe na NANI?2. Hatukuwa tunajua kama kuna hela zilitolewa kwa ajili hiyo.
WAHUSIKA wenyew ni wangapi? Kulikuwa na AZIMIO? wabunge watano ndio tayari usha confirm hoja zao?3. Sidhani kama kulikuwa na kipengele hicho, na hata wahusika hawajasema pesa zirudi, bali wanahoji zimetumika vipi.
Sasa.. umeona tatizo lako lilipo? Tuna miradi mingapi inaendelea kwa Sasa? Kwanin unalaumu hela Imeliwa?4. Sikutegemea ziwekwe kwenye account yangu, bali zitumike kwa maslahi na maendeleo ya nchi.
5. Statistics zilikuwepo mwanzoni kabisa, na sasa hazipo kabisa. Either hazitolewi au hakuna case mpya.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Huyu mhutu anawaza tumbo lake tuLeo kutoka ofisi za chama cha mapinduzi Lumumba jijini Dar es Salaam, Katibu mwenezi wa chama cha mapinduzi, Humphrey Polepole anaongea kuhusu mambo yaliyojadiliwa kwenye kikao cha kamati kuu kilichoketi jana mjini Dodoma, kuwa nami..
=======
Polepole: Sisi kama chama mapinduzi tunawaahidi watanzania tutachapa kazi kuliko hata muhula uliopita, CCM kiko mstari wa mbele kuisimamia Serikali kuhakikisha yote tuliyowaahidi tunatekeleza. Tuna siku 1825 na hatuna muda wa kupoteza.
Siku ya jana iliketi kamati kuu ya halmashauri kuu Taifa ya CCM chini ya uenyekiti wa John Magufuli jijini Dodoma makao makuu ya chama na Serikali. Kwanza imetoa pongezi nyingi sana kwa ndugu Hemedi Suleiman Abdullah, makamu wa pili wa Rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar.
Pia siku ya jana uteuzi wa baraza la mawaziri na kama kauli ya Rais ya Magufuli ameendelea kusisitiza , tuna kazi moja tu kwa watanzania kwa kipindi hiki, kuchapa kazi, kuwapatia utumishi uliotukuka ili tuweze kulipa deni kubwa ambalo watanzania wametupatia katika uchaguzi huu wa mwaka 2020.
AGENDA
=======
- Kuthibitisha wa uteuzi wa wagombea wa nafasi za Meya wa jiji, Tanzania bara majiji sita
- Meya wa manispaa 20 za Tanzania Bara
- Wagombea wa nafasi za uenyekiti wa halmashauri za wilaya 137 za Tanzania Bara
- Kuthibitisha uteuzi wa nafasi za wagombea wa wenyeviti wa halmshauri za miji 22 Tanzania bara
POLEPOLE: Ndugu watanzania msihangaishwe na kauli za hapa na pale, vikauli kauli hivi vya kuonesha kana kwamba, haya mambo ni ya kupuuza, sasa hivi tunataka tuchape kazi. Tuna kazi ya kuzalisha ajira nyingi(Milioni 8). Tuko vizuri mno, tunathamini marafiki wetu wote kama Taifa la Tanzania, tunawaheshimu na kuwapenda na tunatarajia na wao pia watuheshimu na kutupenda sisi kama Taifa huru na linalojitegemea.
Tutaendelea kutoa ushirikiano mkubwa kama ambavyo tumeainisha kwenye ilani ya CCM katika eneo la mahusiano ya kimataifa, tuna kazi kubwa ya kuimarisha sekta binafsi, kujenga uchumi imara, himilivu lakini pia jumuishi kwa maana hiyo mahusiano ya kimataifa kwetu jambo la msingi sana lakini tunafanya hivyo tukiangalia maslahi mapana ya Tanzania kwanza na yasiyokwenda kinyume na tamaduni zetu, taratibu zetu na desturi.
Hapa kama tumetatua Tatizo limeisha TUENDELEE tu kutoa Hamasa wakati tushajua siri iliyo nyuma ya Covid-19?
Hatukujua? Wewe na NANI?
WAHUSIKA wenyew ni wangapi? Kulikuwa na AZIMIO? wabunge watano ndio tayari usha confirm hoja zao?
Sasa.. umeona tatizo lako lilipo? Tuna miradi mingapi inaendelea kwa Sasa? Kwanin unalaumu hela Imeliwa?
Kama hakuna , je hao wageni wanaokuja facilities za kuwapima unajua zinakwendaje?, Unajua wageni hasa watalii wanapewa service gani wakiwa ktk viwanja vya ndege na Maeneo ya Utalii?Kama tatizo limetatuliwa,maana yake kwasasa Tz hakuna corona. Sasa inakuwaje mwanzo ulinishambulia niliposema hivyo?
Mwanzo kabisa uliniuliza "mlikuwa wapi kuhoji mpaka mnahoji sasa?" Labda nikuulize ww,ulikuwa unamaanisha mimi na nani.
Kwanin una Compare Bunge la Tz na Bunge la Kimataifa? Wana protocol zao tofaut na huku... Hivyo jitafakari vzrWahusika ni EU,na hao wabunge ni moja kati ya member. Hata hivyo sidhani katika kujadili jambo lolote,basi wabunge wote huweza kuongea ndani ya siku moja. Hata hapa Tz unaona mijadala yao.
Skia kijana.. kama Serikali ingekuwa na Shida ya kufuja pesa basi wasingekataa Msaada/ruzuku ya pesa ya Uchaguzi.. kutoka nje. Serikali imetumia mapato yake ya ndani kuendesha Uchaguzi.. ingekuwa na shida na hizo pesa wangezichukua zile Bilioni za Msaada wa Uchaguzi.Kinachosababisha mashaka ni kwamba kabla ya hii taarifa hatukuwahi kuambiwa kama tumepokea msaada wa kiwango hicho kuhusu corona. Lakini pia hela zilivyotoka,zimetoka na mchanganuo mzima wa matumizi ya ile hela.
Tuna demi kubwa sana,tuko vizuri...Leo kutoka ofisi za chama cha mapinduzi Lumumba jijini Dar es Salaam, Katibu mwenezi wa chama cha mapinduzi, Humphrey Polepole anaongea kuhusu mambo yaliyojadiliwa kwenye kikao cha kamati kuu kilichoketi jana mjini Dodoma, kuwa nami..
=======
Polepole: Sisi kama chama mapinduzi tunawaahidi watanzania tutachapa kazi kuliko hata muhula uliopita, CCM kiko mstari wa mbele kuisimamia Serikali kuhakikisha yote tuliyowaahidi tunatekeleza. Tuna siku 1825 na hatuna muda wa kupoteza.
Siku ya jana iliketi kamati kuu ya halmashauri kuu Taifa ya CCM chini ya uenyekiti wa John Magufuli jijini Dodoma makao makuu ya chama na Serikali. Kwanza imetoa pongezi nyingi sana kwa ndugu Hemedi Suleiman Abdullah, makamu wa pili wa Rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar.
Pia siku ya jana uteuzi wa baraza la mawaziri na kama kauli ya Rais ya Magufuli ameendelea kusisitiza , tuna kazi moja tu kwa watanzania kwa kipindi hiki, kuchapa kazi, kuwapatia utumishi uliotukuka ili tuweze kulipa deni kubwa ambalo watanzania wametupatia katika uchaguzi huu wa mwaka 2020.
AGENDA
=======
- Kuthibitisha wa uteuzi wa wagombea wa nafasi za Meya wa jiji, Tanzania bara majiji sita
- Meya wa manispaa 20 za Tanzania Bara
- Wagombea wa nafasi za uenyekiti wa halmashauri za wilaya 137 za Tanzania Bara
- Kuthibitisha uteuzi wa nafasi za wagombea wa wenyeviti wa halmshauri za miji 22 Tanzania bara
POLEPOLE: Ndugu watanzania msihangaishwe na kauli za hapa na pale, vikauli kauli hivi vya kuonesha kana kwamba, haya mambo ni ya kupuuza, sasa hivi tunataka tuchape kazi. Tuna kazi ya kuzalisha ajira nyingi(Milioni 8). Tuko vizuri mno, tunathamini marafiki wetu wote kama Taifa la Tanzania, tunawaheshimu na kuwapenda na tunatarajia na wao pia watuheshimu na kutupenda sisi kama Taifa huru na linalojitegemea.
Tutaendelea kutoa ushirikiano mkubwa kama ambavyo tumeainisha kwenye ilani ya CCM katika eneo la mahusiano ya kimataifa, tuna kazi kubwa ya kuimarisha sekta binafsi, kujenga uchumi imara, himilivu lakini pia jumuishi kwa maana hiyo mahusiano ya kimataifa kwetu jambo la msingi sana lakini tunafanya hivyo tukiangalia maslahi mapana ya Tanzania kwanza na yasiyokwenda kinyume na tamaduni zetu, taratibu zetu na desturi.
Ni rahisi mno warudishe tu, walichukua za nini wakati sisi hatukuwa na covid , huo ni uwizi. Hizo fedha zirudishwe ili zikasaidie wanadamu wenzetu katika nchi zilizo athirika na hyo ndio utu na ubinadamu.Haaa just haaa haaa..!
MACCM rudisheni pesa ya mashoga.
Mbona ni rahisi sana. Kwa nini mnapenda sana vya kuiba.
Kwa mfano zile 1.5T meko akawa mbogo kweli kweli na yule sheikh akafutwa kazi kibabe,yeye kawapumbaza hadi tenda ya uwanja kule kijijini kwake alimpa muowaji mwenzake halafu pale hazina ya taifa mtoto wa dada akalipa.Siyo kweli CCM siyo majizi. Majizi wanajulikana ila kwa uoga wa wale Wabunge wa CHADEMA waliodhulumiwa ile mihela na MWENYEKIGODA wao, basi anapeta tu na kuanza kufanya mkakati wa KIELEKITRONIKI kuanza wizi mpya!
Hitler mfalme wa madikteta hakupata malezi bora utotoni.Watoto ni wako lakini ukiwatesa majirani watakushughulikia tu. Watoto ni wa Jamii. Watanzania ni Mali ya dunia na sio ya jiwes and company. Thus kuna the Hague sehemu salama ya kuwafunza walioko👿👿sa malezi Bora utotoni
Halafu dokta shikaKesho harmonize
Hamtetereki wakati muda wote mmelekeza bakuli Kwa wazungu?Hakika Sentensi hiyo kutoka Kwa Humphrey Pole Pole imehitimisha kwamba we are strong hatutereki