Humphrey Polepole: Tunathamini marafiki zetu wote kama Taifa la Tanzania, tunawaheshimu na kuwapenda. Tunatarajia watuheshimu kama Taifa Huru

Akili mgando!
 
Hahaha kmmk 😂 😂
 
Katika watu majasili, basi polepole kapitiliza hujasili, kwamba ,Sisi nchi huru,how,? Duniani kote nchi zote ni huru Kama unafanya Mambo angalau yaliyostaharabika machoni mwa nchi nyingine,tangu Uhuru tumeridhia makubaliano mbali mbali katika nyanja mbalimbali
Hivyo Kama nchi ukivuruga makubaliano hayo machoni mwa mataifa mengine Uhuru wako nao unakoma na utashughulikiwa ,
Nasema pole pole ni jasili maana naona yapo Mambo mengine Kama hastahili kuyasemea maana hata akiyasemea tunabaki nayo hapahapa,pili binafsi kila nikifikilia yanayo weza kuja mbele mwili ujashutuka Sana,
Mh polepole punguza ujasili ,haya Mambo ni magum muachie prof kabudi , labda hiki ni kina kirefu mkuu
 
Kwa mfano zile 1.5T meko akawa mbogo kweli kweli na yule sheikh akafutwa kazi kibabe,yeye kawapumbaza hadi tenda ya uwanja kule kijijini kwake alimpa muowaji mwenzake halafu pale hazina ya taifa mtoto wa dada akalipa.
Haya ni maneno ya KITAA ambayo hata Lissu mlimwambia ayaseme na tukayasikia wakati wa kampeini ila kwa vile hayana ukweli hata nyie na Lissu hamyasemi kwa kishindo kwani uongo kila siku NI SHORT LIVED!
 
Haya ni maneno ya KITAA ambayo hata Lissu mlimwambia ayaseme na tukayasikia wakati wa kampeini ila kwa vile hayana ukweli hata nyie na Lissu hamyasemi kwa kishindo kwani uongo kila siku NI SHORT LIVED!
Babu alisema,wajinga ndio waliwao!
 
Amani na Umoja ndio Nguzo yetu,

Sasa ni wakati wa kufanya kazi kwa bidii kubwa.
 
Ukijiheshimu hata taahira atakuheshimu, ukiishi kiuwendawazimu, utadharaulika, japo mataahira wata kushangilia kwani wanakuona wewe ndio kiongozi wao.
 
Ukijiheshimu hata taahira atakuheshimu, ukiishi kiuwendawazimu, utadharaulika, japo mataahira wata kushangilia kwani wanakuona wewe ndio kiongozi wao.
Ni kweli this takes me back kwenye 2020 General Election campaigns na makelele ya Lissu na namna mataahira wenzake walivyokuwa wakimshangilia wakati anatukana kwenye majukwaa. Asante kwa kutukumbusha kamwamu keep it up!
 
Ni kweli this takes me back kwenye 2020 General Election campaigns na makelele ya Lissu na namna mataahira wenzake walivyokuwa wakimshangilia wakati anatukana kwenye majukwaa. Asante kwa kutukumbusha kamwamu keep it up!
Taahira anayeshangiliwa kama huyu,Yua ekselensi i traidi bati i kanti lichi yu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…