Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jomba mbona kwa muda mrefu nimekuwa nikiamini wewe ni mtu mwenye akili timamu? !Huu Uzi ukimfikia THE SENIOR CHAWA Lucas Mwashambwa na wadogo zake THE JUNIOR CHAWA ChoiceVariable & THE LITTLE CHAWA MamaSamia2025
Watakuja Kumpongeza Samia Kwa kuwawezesha Wakuu wote wa JF kuelewa kila kitu!
Salute kwako SweetyCandyWapo wengine wanajiona nakuandama watu wakizani wanahisa huku jf , halafu mtu mzima hajieshimu , wala nini , wengine wanataka kuwa na kila mtu humu mwingine akitaka mtu huku wanamwandama kwa id zao za zamani na mpya . Sasa kwa hili sio vizuri mtu anapaswa kulia nakuwa na raha na uhuru wakucomment nakutoa mawazo yake , ni kweli yote ulioandika Street brain
😆😆Kuna kitu umepungukiwa kwani?
SureKujua kila kitu so tatizo wala sio dhambi ila dhambi ni kuwa mvivu hutaki kujifunza na kufahamu mambo mbali mbali
Kuna huyo wa kujiita Mzizi Mkavu" yey kila ugonjwa atakuambia anaweza kuutibu na dawa anayo, "ukimwi anatibu,saratani anatibu" sasa jichanganye umfuate huko PM, "umekwishaaHumu jf kuna mtu mada za Siasa yeye yumo, mpira yumo, Mahusiamo yumo, music yumo, vita yumo, dini yumo, magonjwa yumo tena anaweza akakupa kitu na ukadhani labda ana Phd ya udaktari, migogoro ya kisiasa yumo yaani akichambua migogoro ya Marekani na urusi unaweza dhani labda amesomea ata diplomasia Daaaah wanajf mi nimenyoosha mikono.
Mfano mzuri ni mshana je na wengine yaani yeye kila jukwaa yupo na hakuna kitu asichokijua Daaaah 😱 kila kitu yeye anajua😂😂 afu kuna wale sasa yeye anasubiri mada iletwe jukwaani yeye apinge, halafu kuna huyu yeye anasubiri mada tu atukane au achokoze mtu waanze kuporomosheana mitusi.
Yaani nyie kila kitu mnajua.
Binadamu ana akili sana binadamu huyo huyo ni mvivu wa kufikiri lakini ni muhimu kusoma kuhusu, social inferenceHumu jf kuna mtu mada za Siasa yeye yumo, mpira yumo, Mahusiamo yumo, music yumo, vita yumo, dini yumo, magonjwa yumo tena anaweza akakupa kitu na ukadhani labda ana Phd ya udaktari, migogoro ya kisiasa yumo yaani akichambua migogoro ya Marekani na urusi unaweza dhani labda amesomea ata diplomasia Daaaah wanajf mi nimenyoosha mikono.
Mfano mzuri ni mshana je na wengine yaani yeye kila jukwaa yupo na hakuna kitu asichokijua Daaaah 😱 kila kitu yeye anajua😂😂 afu kuna wale sasa yeye anasubiri mada iletwe jukwaani yeye apinge, halafu kuna huyu yeye anasubiri mada tu atukane au achokoze mtu waanze kuporomosheana mitusi.
Yaani nyie kila kitu mnajua.
Wee miyeyusho ujueHumu jf kuna mtu mada za Siasa yeye yumo, mpira yumo, Mahusiamo yumo, music yumo, vita yumo, dini yumo, magonjwa yumo tena anaweza akakupa kitu na ukadhani labda ana Phd ya udaktari, migogoro ya kisiasa yumo yaani akichambua migogoro ya Marekani na urusi unaweza dhani labda amesomea ata diplomasia Daaaah wanajf mi nimenyoosha mikono.
Mfano mzuri ni mshana je na wengine yaani yeye kila jukwaa yupo na hakuna kitu asichokijua Daaaah 😱 kila kitu yeye anajua😂😂 afu kuna wale sasa yeye anasubiri mada iletwe jukwaani yeye apinge, halafu kuna huyu yeye anasubiri mada tu atukane au achokoze mtu waanze kuporomosheana mitusi.
Yaani nyie kila kitu mnajua.