Humu JF ni mimi tu ndiyo sina kazi rasmi, gari na nyumba?

Humu JF ni mimi tu ndiyo sina kazi rasmi, gari na nyumba?

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Eti wakuu mnaonaje namimi mkinielekeza mmefanyaje hadi mkayapatia maisha kiasi hiki. Nimepitia nyuzi nyingi sana nimegundua anayemiliki gari ya hali ya chini kabisa ni Mshana Jr mwenye BMW Series 3 TD 320 tena ni gari yake ya ziada.

Wengine wana ma V8 aka Vieite (kwa sauti ya Humphrey Polepole), Hummer, Bugatti, Range Rover, Ford Everest nk.

Pia nimebaini wana JF wote wana exposure aliyetembea nchi chache sana ametembea nchi 20 tena za dunia yakwanza.

Naombeni mbinu namimi nifike walau Daisalama, ntashukuru sana.
 
Mbona tupo ambao ni wakulima wa hali ya chini kabisa,na huwa tunaomba misaada humu mkuu.Kama mimi ni mtu wa hali ya chini kabisa na naomba kwa yeyote atakayeweza anisaidie anishike mkono.
 
Eti wakuu mnaonaje namimi mkinielekeza mmefanyaje hadi mkayapatia maisha kiasi hiki. Nimepitia nyuzi nyingi sana nimegundua anayemiliki gari ya hali ya chini kabisa ni Mshana Jr mwenye BMW Series 3 TD 320 tena ni gari yake ya ziada.

Wengine wana ma V8 aka Vieite (kwa sauti ya Humphrey Polepole), Hummer, Bugatti, Range Rover, Ford Everest nk.

Pia nimebaini wana JF wote wana exposure aliyetembea nchi chache sana ametembea nchi 20 tena za dunia yakwanza.

Naombeni mbinu namimi nifike walau Daisalama, ntashukuru sana.
Njoo tulime michaichai
 
Jinsi wana JF tunavyosoma huu uzi

1000011204.jpg
 
Eti wakuu mnaonaje namimi mkinielekeza mmefanyaje hadi mkayapatia maisha kiasi hiki. Nimepitia nyuzi nyingi sana nimegundua anayemiliki gari ya hali ya chini kabisa ni Mshana Jr mwenye BMW Series 3 TD 320 tena ni gari yake ya ziada.

Wengine wana ma V8 aka Vieite (kwa sauti ya Humphrey Polepole), Hummer, Bugatti, Range Rover, Ford Everest nk.

Pia nimebaini wana JF wote wana exposure aliyetembea nchi chache sana ametembea nchi 20 tena za dunia yakwanza.

Naombeni mbinu namimi nifike walau Daisalama, ntashukuru sana.
Acha Majungu basi kijana....Unaleta Unafiki wa wazi wazi
 
Back
Top Bottom