Principal Focus
JF-Expert Member
- Jan 4, 2013
- 925
- 550
Habari ndugu/ jamaa wa jf!
Leo nimeshtushwa na baadhi ya response toka kwa wana jf ambao sijui tuseme ni makusudi kwa kudhamiria au bahati mbaya, wamekuwa na tabia ambayo inanipa mashaka.
Sisemi wana jf wote ni baadhi yao wamekuwa na tabia za ajabu sana. Wao hawasomi ujumbe wote wanasoma kichwa na kujibu kwa hisia sana bila kuelewa nini kinajadiliwa.
Hii imetokea leo baada ya kuleta mada lakini ajabu ni kuwa watu walisoma kichwa na kujibu kwa hisia sana, bila hata kuelewa nini kinaongelea japo wengine wanasoma kushika point kama vile anasoma tamthilia ya ngoswe kitovu cha uzembe ili akafanye necta.
Mbaya zaidi bora basi usome uelewe ni nini kinazungumziwa ili upate kuelewa lakini wao wanasoma na kushika mstari mmoja na kutoa comments ambazo kiukweli sikutarajia.
Wengine ndo vile tu kisa anataka kuonekana kachangia utaona anapost "wasted sperm", wengine "empty set", au " hivi na wewe ni binadamu", huku wengine wanaita watu waje kushambulia wao wakijifanya watakatifu.
Sikutegemea kama jf itakuwa ni sehemu ya kujibu kwa hisia kama mashabiki wa chadema na ccm.
Ila najua hata humu watakuja, so nyie njoo ila mkae mkijua mapovu yenu hayana sabuni.
Anxieties are after your peace not ur success.
Mnaotumika pia nyie mkuje tu povu ruksa bili nshalipia.
NB: NIMEJIHAMI TU MAPEMA
Leo nimeshtushwa na baadhi ya response toka kwa wana jf ambao sijui tuseme ni makusudi kwa kudhamiria au bahati mbaya, wamekuwa na tabia ambayo inanipa mashaka.
Sisemi wana jf wote ni baadhi yao wamekuwa na tabia za ajabu sana. Wao hawasomi ujumbe wote wanasoma kichwa na kujibu kwa hisia sana bila kuelewa nini kinajadiliwa.
Hii imetokea leo baada ya kuleta mada lakini ajabu ni kuwa watu walisoma kichwa na kujibu kwa hisia sana, bila hata kuelewa nini kinaongelea japo wengine wanasoma kushika point kama vile anasoma tamthilia ya ngoswe kitovu cha uzembe ili akafanye necta.
Mbaya zaidi bora basi usome uelewe ni nini kinazungumziwa ili upate kuelewa lakini wao wanasoma na kushika mstari mmoja na kutoa comments ambazo kiukweli sikutarajia.
Wengine ndo vile tu kisa anataka kuonekana kachangia utaona anapost "wasted sperm", wengine "empty set", au " hivi na wewe ni binadamu", huku wengine wanaita watu waje kushambulia wao wakijifanya watakatifu.
Sikutegemea kama jf itakuwa ni sehemu ya kujibu kwa hisia kama mashabiki wa chadema na ccm.
Ila najua hata humu watakuja, so nyie njoo ila mkae mkijua mapovu yenu hayana sabuni.
Anxieties are after your peace not ur success.
Mnaotumika pia nyie mkuje tu povu ruksa bili nshalipia.
NB: NIMEJIHAMI TU MAPEMA