humu ndani hakuna wa kuoa kabisa

humu ndani hakuna wa kuoa kabisa

Sio kweli kabisa. Wanaume wengi pia wako sereous ila tatizo nililo gundua wadada wengi wanahitaji wanaume wenye umli miaka 33 and above ambavyo kwa kawaida kwa vijana kama mimi wenye umli pungufu ya hapo tunakoswa sifa na kujiweka pembeni na hivyo kuwafanya wale wasio kua wastaarabu kuanza kutoa jokes.
Lakini ukweli halisi wengi wako sereous.
 
nimefuatilia toka mbali topic zote za kutafuta waoaji humu ndani nikagundua ni bure kabisa,wadada wengi wako verry serious but mens are not serious,kwann lakini?basi kama huu ni ukumbi wa kujifurahisha na utani mwingi poa,lets gooooooo

Nakuunga mkono kwa dhati yote........seems wadada wapo serious ila men ni hewa wanapita tu!!!
 
nimefuatilia toka mbali topic zote za kutafuta waoaji humu ndani nikagundua ni bure kabisa,wadada wengi wako verry serious but mens are not serious,kwann lakini?basi kama huu ni ukumbi wa kujifurahisha na utani mwingi poa,lets gooooooo

Vijana wanataka kuwowa tu!
 
nimefuatilia toka mbali topic zote za kutafuta waoaji humu ndani nikagundua ni bure kabisa,wadada wengi wako verry serious but mens are not serious,kwann lakini?basi kama huu ni ukumbi wa kujifurahisha na utani mwingi poa,lets gooooooo

Kama mpaka leo hujapata wa kukuwowa basi ni pm
 
Back
Top Bottom