samahani nimekosea wapi?
saa me ntafanyaje kaka nimeomba msaada toka mwezi wa nne nilienda kwa mkuu wa wilaya wakanijibu vibaya sasa mimi nifanyeje jaman
haya bwana hata kijana wako hatafanyiwa hivi ipo siku haujui moyon naumia kiasi gani...
Ndivyo ulivyofundishwa kuomba hivyo? Hayo malezi uliyopata kiboko! Napata picha ndugu yangu anakuja kwangu anaanza na hiyo statement yako 'una roho mbaya, si unisomeshe?'
Unless wewe ni mkenya. Manake ndo tumezoea unasrma 'aki weeh ni mchung, si unipatie doo nikanunue credoo niweke kwa simu nipigie sista angu?'
Cc Highlander
saa me ntafanyaje kaka nimeomba msaada toka mwezi wa nne nilienda kwa mkuu wa wilaya wakanijibu vibaya sasa mimi nifanyeje jaman