Huna maana hata iweje. . .


Huwa sifanyi jambo kwa sababu nimelazimishwa au nimesababishwa kufanya!
 
Asante kakangu. Mbona wifi yangu atapata raha, mume mstaarabu na mawifi wa kishua!Ngoja cheaters waamke manake saa hizi wanakimbia kuvalia soksi kwenye magari manake walirudi home midnite!
ratio hairuhusu ksb ya sasa ni 5:1 sasa ukisema 1:1 wanawake wengine watakuwa hawalambwi
 
telitaibi,too bad for u,u have to do something!

ni past now maombi huamisha milima yaani amekuwa kama mtu mwingine feel lk nimeolewa tena na very hnst ona am luck dia kama kuna walio na tabu mwanamke goti
 
Hapa cha msingi wote wake kwa waume tuwe na hofu ya MUNGU tutashinda majaribu, lakini mkikaa kutusema sisi wanaume tu haitoshi kama nanyi hamjatulia, ninyi mkijiheshimu nadhani hata sisi tutaona aibu kuwavulia vibukta vyetu.
 
Hapa cha msingi wote wake kwa waume tuwe na hofu ya MUNGU tutashinda majaribu, lakini mkikaa kutusema sisi wanaume tu haitoshi kama nanyi hamjatulia, ninyi mkijiheshimu nadhani hata sisi tutaona aibu kuwavulia vibukta vyetu.

Nani amekuambia Mungu anatakiwa kuogopwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…