Good Neighbour
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 942
- 897
Biashara hii itakupa majibu ya kwanini uache;
KUKAA MTAANI,KUBET,FOREX TRADING,BITCOIN,ONLINE BUSINESS ISIYO NA TIJA NA PENGINE KUACHA KUAJIRIWA
REAL ESTATE NI NINI?
Real estate ni biashara inayohusisha ununuzi au uuzaji wa viwanja,mashamba,nyumba pamoja na property evaluation,n.k ila niko based na uuzaji pamoja na ununuaji.ikiwa ni biashara ya uhakika,yenye soko kubwa kwa sasa(researched data) hasa katika mkoa wa Dodoma.unaweza kufanya kama realtor(real estate agent/wakala) au broker ukapata commission ambayo ikakusaidia kufungua kampuni!!!unaweza fanya project moja tu na ikakupa breakthough(mtaji wa kufungulia)
KWANINI USHIRIKIANE NA MIMI TUWEZE KUFIKA MBALI PAMOJA?
1.Nina uzoefu mkubwa wa masoko,namna ya kuendesha biashara hii pamoja na kufahamiana na watu muhimu katika idara mbalimbali tunaowahitaji katika kazi yetu.ikiwa ni kurahisisha kazi,gharama na kufanya kazi katika ufanisi wa hali ya juu
2.Nimeandaa a solid business plan ambayo iko vizuri na imeeleza kwa kutumia takwimu na kwa kuchimba kwa kina mahitaji ya kufungua kampuni,mtaji wa kuemdesha kampuni,faida,changamoto,management team,n.k
3.Ili kuonyesha hii kazi sio BLAA BLAA ila ni KWELI kuna bank slips nitazokuonyesha na idadi ya projects nlizokwishafanya na kiasi cha pesa nilichoingiza.
NAHITAJI MTU WA AINA GANI?
Mtu makini,committed,self motivated,solid,elimu na uzoefu sio vigezo kwangu.
REMEMBER
----If you want to be successful just ask yourself the following four(4) questions
1.WHY? 2.WHY NOT? 3.WHY NOT ME?
4.WHY NOT NOW?
----Stop wishing for if wishes were horses beggars would ride,walk your TALK
-----Amka sasa usisubiri kuwa motivated,inspired,mentored pengine hao wanaokufanyia hivyo wanafanya biashara au hawakuwahi kuwa na watu wa kuwamotivate,inspire or mentoring them.wake up and be your own motivation,inspiration and mentor.
Weka blaa blaa,woga,aibu,calculating risks kupita kiasi,listening to wrong people,kukata tamaa kando njoo tufanye kazi.
0767833496/0622111186
0785641218/0659605358
KUKAA MTAANI,KUBET,FOREX TRADING,BITCOIN,ONLINE BUSINESS ISIYO NA TIJA NA PENGINE KUACHA KUAJIRIWA
REAL ESTATE NI NINI?
Real estate ni biashara inayohusisha ununuzi au uuzaji wa viwanja,mashamba,nyumba pamoja na property evaluation,n.k ila niko based na uuzaji pamoja na ununuaji.ikiwa ni biashara ya uhakika,yenye soko kubwa kwa sasa(researched data) hasa katika mkoa wa Dodoma.unaweza kufanya kama realtor(real estate agent/wakala) au broker ukapata commission ambayo ikakusaidia kufungua kampuni!!!unaweza fanya project moja tu na ikakupa breakthough(mtaji wa kufungulia)
KWANINI USHIRIKIANE NA MIMI TUWEZE KUFIKA MBALI PAMOJA?
1.Nina uzoefu mkubwa wa masoko,namna ya kuendesha biashara hii pamoja na kufahamiana na watu muhimu katika idara mbalimbali tunaowahitaji katika kazi yetu.ikiwa ni kurahisisha kazi,gharama na kufanya kazi katika ufanisi wa hali ya juu
2.Nimeandaa a solid business plan ambayo iko vizuri na imeeleza kwa kutumia takwimu na kwa kuchimba kwa kina mahitaji ya kufungua kampuni,mtaji wa kuemdesha kampuni,faida,changamoto,management team,n.k
3.Ili kuonyesha hii kazi sio BLAA BLAA ila ni KWELI kuna bank slips nitazokuonyesha na idadi ya projects nlizokwishafanya na kiasi cha pesa nilichoingiza.
NAHITAJI MTU WA AINA GANI?
Mtu makini,committed,self motivated,solid,elimu na uzoefu sio vigezo kwangu.
REMEMBER
----If you want to be successful just ask yourself the following four(4) questions
1.WHY? 2.WHY NOT? 3.WHY NOT ME?
4.WHY NOT NOW?
----Stop wishing for if wishes were horses beggars would ride,walk your TALK
-----Amka sasa usisubiri kuwa motivated,inspired,mentored pengine hao wanaokufanyia hivyo wanafanya biashara au hawakuwahi kuwa na watu wa kuwamotivate,inspire or mentoring them.wake up and be your own motivation,inspiration and mentor.
Weka blaa blaa,woga,aibu,calculating risks kupita kiasi,listening to wrong people,kukata tamaa kando njoo tufanye kazi.
0767833496/0622111186
0785641218/0659605358