Noted with thanks
mkuu!
Kaka nina dada yangu whom ni mkubwa kwangu kwa miaka almost mitatu whom
kutokana na kutokuchaguliwa kwenda shule za serikali enzi hizo na
familia yetu ikijishosheleza tu kwa mlo na kushindwa kumpeleka private
aliishia tu kuwa house girl wa wenye maisha bora town alipong'aria
shavu,thereinafter aliporudi kijijini akachukuliwa faster na then
shemeji yangu!
Frankly iliniuma kidogo wakati huo lakini muda unaponya majeraha,leo hii
dada yangu ana watoto wanne,ukiambiwa hata amezaa huwezi jua so far
kwenye family aliyoolewa ni yeye pekee ana jukumu la kutunza wakwe
zake,kutunza mji,kulea watoto,kutunza mifugo,kutunza shamba and likely!
Wenzake waliochaguliwa kwenda shule wakati wake waliishia form four/six
na kuunga hapa na pale kwa hutu tukozi nyemelezi,wamepata mabwana
wanaojua kuhudumia,wamezaa sana sana mtoto mmoja kisha kunenepeana
utadhani mbuzi wa hitma,kutembea kwenyewe taabu,wakipanda vitz inaenda
mwendo wa bata,kuhema juu juu utadhani uhai unataka kuwachomoka!
Yatosha kusema kwamba hawa wa kijijini kuna vitu wanakosa,exposure,umbea
wa saluni na haya mazaga zaga ya Mc Donalds ila wana span ndefu kuliko
hawa broilers! (samahani kwa vibonge) Huo ndio ukweli!