TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,079
- 3,367
Unapenda kubisha sana. The fact remains hamuipiku Kenya na Uganda kwa innovations
Pwahaha!! Kenya mnajulikana kwa kuongea saana utendaji zero. I told you to show me ur technologies.Unapenda kubisha sana. The fact remains hamuipiku Kenya na Uganda kwa innovations
Ungesema kenya, kidogo ningekuelewa, ila Ug? Kadanganye nyanyaako.Unapenda kubisha sana. The fact remains hamuipiku Kenya na Uganda kwa innovations
Uganda is no. 9 in Africa when it comes to advancement in technologyUngesema kenya, kidogo ningekuelewa, ila Ug? Kadanganye nyanyaako.
Acha zako wewe. Tanzania mna kila kitu ila nyie ndio mnaongoza kwa ufukara afrika mashariki na kati. Lazy bonesPwahaha!! Kenya mnajulikana kwa kuongea saana utendaji zero. I told you to show me ur technologies.
Hapa tunaongelea mchele wa msaada toka china
Pwahahaha!! Umaskini wa kukosa basic needs kama chakula na kuomba msaasa kwa wanaume tunaweza kuutaje!?Acha zako wewe. Tanzania mna kila kitu ila nyie ndio mnaongoza kwa ufukara afrika mashariki na kati. Lazy bones
Kama wewe ni msomi kwa jinsi unavyojigamba humu basi unaelewa kwamba nusu ya Kenya ni jangwa tofauti na bongo. Nimewaonya dhidi ya kuwacheka wengine. Mliwacheka wakenya bwawa lilipokata na kuwaua watu 40+.huko kwenu watu 220 walifariki kisa kuzama baharini. Kama wewe ni mwerevu basi unanielewa. Jalali halali. Unachofanyia mwenzako ujue Mungu anakuona. Malipo ni hapa duniani. Ni vizuri kuwa mnyenyekevu. Bad luck happens to everyonePwahahaha!! Umaskini wa kukosa basic needs kama chakula na kuomba msaasa kwa wanaume tunaweza kuutaje!?
Shughulikieni kwanza masuala ya chakula ndio muongee na sisi.
what has Kenya and Uganda innovated that is selling outside their countries?Unapenda kubisha sana. The fact remains hamuipiku Kenya na Uganda kwa innovations
Sasa haya maramani yanasaidia nini wakati nyang'au wanakufa na njaa?
Kuwa mpole. You claim you are so educated. Highlight 10 countries in Africa which are most technological lywhat has Kenya and Uganda innovated that is selling outside their countries?
I am calm, highlight ya nini, just tell me apart from assembling computers that you enjoy to boast about and yet can't sell anywhere except for within yourselves( we have Nordic by the way), what have you technologically innovated and sells outside?Kuwa mpole. You claim you are so educated. Highlight 10 countries in Africa which are most technological ly
Advanced
Sasa unamlilia nani hapa!? Egypt ni jangwa nchi nzima mbona sio ombaomba kama nyieKama wewe ni msomi kwa jinsi unavyojigamba humu basi unaelewa kwamba nusu ya Kenya ni jangwa tofauti na bongo. Nimewaonya dhidi ya kuwacheka wengine. Mliwacheka wakenya bwawa lilipokata na kuwaua watu 40+.huko kwenu watu 220 walifariki kisa kuzama baharini. Kama wewe ni mwerevu basi unanielewa. Jalali halali. Unachofanyia mwenzako ujue Mungu anakuona. Malipo ni hapa duniani. Ni vizuri kuwa mnyenyekevu. Bad luck happens to everyone
Tumeomba nini? Wewe na kadada hutuma walemavu kutoka tz kuja kuombaomba Kenya halafu mnakesha hapa mkitusimanga. Mnawatumia hao walemavu vibaya sanaSasa unamlilia nani hapa!? Egypt ni jangwa nchi nzima mbona sio ombaomba kama nyie
Kwani we do it to please othersI am calm, highlight ya nini, just tell me apart from assembling computers that you enjoy to boast about and yet can't sell anywhere except for within yourselves( we have Nordic by the way), what have you technologically innovated and sells outside?
I will never tell you that mpesa was started in Tanzania, by the way who started mpesa?Kwani we do it to please others
How about the mobile tech revolution.
Or you want to tell us that mpesa was started in Tanzania?
Niende wapi? Fergar!!!Jibebe mama
a kenyanI will never tell you that mpesa was started in Tanzania, by the way who started mpesa?
namea kenyan
Tatizo un wamei rank tanzania km ina maskini wengi...30ml..imagine...badala ya kupewa aid ya flyover...si mngelipewa hyo pesa mununue madiwani ndo huyo mnayemuabudu azidi kuwa na nguvu... π π πMsaada wa mchele. Duh hii ni hatari sana. Yaani hii karne ya Sayansi na Teknolojia unapewa msaada wa mchele!!?