Hunger stricken LDC Kenya given food aid by China

Hawa jamaa hawatembeli vijij vyao wanaishi Nairobi wakifikiri nchi nzima iko kama nairobi. Huko kaskazini kwao kuna watu wanakula majani na mizizi

Sio majani na mizizi huko Turkana watu wana survive kwa maziwa ya mbwa. Kama kuna MKenya wakubisha abishe na hili
 

Hawa jamaa wamekuwa rank up kwa sababu tu ya wazungu wachache na mafisadi wachache wenye fungu ka kutosha wanaishi pale nairobi. Ni maskini wa kutupwa hawa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa jamaa wamekuwa rank up kwa sababu tu ya wazungu wachache na mafisadi wachache wenye fungu ka kutosha wanaishi pale nairobi. Ni maskini wa kutupwa hawa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
huko kaskazini kwao watu wanakufa njaa kama wapo vitani aisee
 
Aha aha aha Jana tu nimeona wa Kenya wakiongea BBC kuhusu nchi yao kukopa fedha nyingi uku hawana uwezo wa kurejesha tena wamekopa CHina ili sijui wajenge miradi km SGR sasa wachina simnawajua hawana cha Human Rights wala democracy wao ukishindwa lipa wanachukua kitu sasa subirini wachukue Whitehouse ndo mtajua mmeuzwa
 
Mbona ardhi ya kulima miraa mnayo? What a stupid excuse, Israel is desert as well but donated food to Kenya Last year, Remember?
Yaani Mkenya na njaa ni kama chupi na K,
 
Kenya wapuuzi kabisa hawa, eti LDC, mtakufa na njaa kwa, Hivi mtu mvivu anaweza kuwa na Chakula? Na uvivu mnatuitia tuna chakula!!! Hatuna njaa.
 
Mbona ardhi ya kulima miraa mnayo? What a stupid excuse, Israel is desert as well but donated food to Kenya Last year, Remember?
Yaani Mkenya na njaa ni kama chupi na K,
Mbona nyie mpo LDC licha ya kuwa na raslimali nyingi? Jibu hilo kwanza
 
I thought mwenye mada alikua anamaanidha hatuna uwezo wa kununua what we need., ingekua Tz je? hamuna uwezo ata wa kusaidia your fellow ldc poor neighbours like Malawi etc., u lack ability to donate anything, Geza Ulole check yourself before kuropokwa ovyo ovyo.
 
rice being so cheap in Tanzania, I personally will donate 10 gunias to your government if they kiss my hand and bow down
 
Wataelewaje wakati wana mentality ya kumuabudu mzungu??

Very poor species in East Africa.
Well said
Wanaabudu watu weupe wote, muhindi ndio usiseme, sasa mchina, hakika yajayo yanafurahisha walahi
Jirani afe tu walahi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…