Hamster255
JF-Expert Member
- Mar 19, 2018
- 843
- 415
Kenya inanusa mkia kwenye Rice exporting 😀😀😀😀
View attachment 892023
View attachment 892025
View attachment 892026
Rice Exports by Country
Akina nani wamekufa njaa wewe mgonjwa mahututi? Nataka uniletee picha za watu ambao wamekufa njaa leoSasa haya maramani yanasaidia nini wakati nyang'au wanakufa na njaa?
Kwani lazima, nenda zako huko....Nataka uniletee picha za watu ambao wamekufa njaa leo
Google eh? Here's another Google for you
I never believed UNICEF's claim about Kenya but this clears up every ounce of doubt I had.View attachment 826009
Hawa jamaa hawatembeli vijij vyao wanaishi Nairobi wakifikiri nchi nzima iko kama nairobi. Huko kaskazini kwao kuna watu wanakula majani na mizizi
wana njaa kali sana, halafu ndo wanatuita sisi wavivu. Nilikua nasoma kitabu cha HM Stanley, swala la chakula bongo bwana kumbe ni tokea enzi za machifu. Anasema alikuta mashamba yamelimwa vizuri kweli toka Zanzibar kuelekea Kigoma. Na machief wanauza chakula kwa wapita njia. Tupo vizuri sana.
huko kaskazini kwao watu wanakufa njaa kama wapo vitani aiseeHawa jamaa wamekuwa rank up kwa sababu tu ya wazungu wachache na mafisadi wachache wenye fungu ka kutosha wanaishi pale nairobi. Ni maskini wa kutupwa hawa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Credible SourceUganda is no. 9 in Africa when it comes to advancement in technology
M-besha ile unatumia unadhani ilitoka pluto?what has Kenya and Uganda innovated that is selling outside their countries?
Geuza ulale Kenya si LDC. Mezeni panadol mlale na mchunge presha isipandeThe only middle economy with hunger issues , what a record!. Hahaha
Why don't you innovate food,Unapenda kubisha sana. The fact remains hamuipiku Kenya na Uganda kwa innovations
Mbona ardhi ya kulima miraa mnayo? What a stupid excuse, Israel is desert as well but donated food to Kenya Last year, Remember?Kama wewe ni msomi kwa jinsi unavyojigamba humu basi unaelewa kwamba nusu ya Kenya ni jangwa tofauti na bongo. Nimewaonya dhidi ya kuwacheka wengine. Mliwacheka wakenya bwawa lilipokata na kuwaua watu 40+.huko kwenu watu 220 walifariki kisa kuzama baharini. Kama wewe ni mwerevu basi unanielewa. Jalali halali. Unachofanyia mwenzako ujue Mungu anakuona. Malipo ni hapa duniani. Ni vizuri kuwa mnyenyekevu. Bad luck happens to everyone
Mbona nyie mpo LDC licha ya kuwa na raslimali nyingi? Jibu hilo kwanzaMbona ardhi ya kulima miraa mnayo? What a stupid excuse, Israel is desert as well but donated food to Kenya Last year, Remember?
Yaani Mkenya na njaa ni kama chupi na K,
rice being so cheap in Tanzania, I personally will donate 10 gunias to your government if they kiss my hand and bow downI thought mwenye mada alikua anamaanidha hatuna uwezo wa kununua what we need., ingekua Tz je? hamuna uwezo ata wa kusaidia your fellow ldc poor neighbours like Malawi etc., u lack ability to donate anything, Geza Ulole check yourself before kuropokwa ovyo ovyo.
Well saidWataelewaje wakati wana mentality ya kumuabudu mzungu??
Very poor species in East Africa.
Hahahaharice being so cheap in Tanzania, I personally will donate 10 gunias to your government if they kiss my hand and bow down