malema 1989
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 1,319
- 520
TATIZO LA NAYANGAU WENGI HAMJIELEWI NA WALA HAMELEWI YANAYOENDELEA NCHI NYINGINE NA DUNIANI POOR KENYANS, ENDELEENI KULISHWA MCHELE, HIYO FEDHEHA HAITAKAA ITOKEE TANZANIA KATIKA HALI YA KAWAIDA, SHAME UPON YOU, MZUNGU ANA MAELFU YA MAEKARI YENYE RUTUBA KENYA, NYANGAU ANAJISIFU KUISHI SLUMS ZA KIBERA NA MANDERADon't even talk about technology. Nchi yenu iko nyuma sana. Uganda are ahead of you in matters of technology.
SA KAMA MPO VIZURI IMEKUAJE MKUU???
MCHINA ATAWANUNUA, KWA KUPENDA VYA BUREE NA MISIFA ISIYO NA MAANA, ETI GDP KUBWA HUKU WENYE NCHI WANAKUFA NJAA, WHAT IS GDP FOR?Well said
Wanaabudu watu weupe wote, muhindi ndio usiseme, sasa mchina, hakika yajayo yanafurahisha walahi
Jirani afe tu walahi!
NYANGAU YEYOTE ATAKAYEKUJIBU NAOMBA UNITAG PLEASE!SA KAMA MPO VIZURI IMEKUAJE MKUU???
AU NDO UNATENGENEZA MWENYEWE HIZI RANGI ZA RAMANI??
Unawashwa na nini? Kwani wakaazi wa kibera wamewahi kukuomba malazi. Si wewe unaishi na wazazi wako kwa kijumba cha tope?TATIZO LA NAYANGAU WENGI HAMJIELEWI NA WALA HAMELEWI YANAYOENDELEA NCHI NYINGINE NA DUNIANI POOR KENYANS, ENDELEENI KULISHWA MCHELE, HIYO FEDHEHA HAITAKAA ITOKEE TANZANIA KATIKA HALI YA KAWAIDA, SHAME UPON YOU, MZUNGU ANA MAELFU YA MAEKARI YENYE RUTUBA KENYA, NYANGAU ANAJISIFU KUISHI SLUMS ZA KIBERA NA MANDERA
Geuza ulale Kenya si LDC. Mezeni panadol mlale na mchunge presha isipande
Kenyans mock Uhuru after receiving food donations from this desert countryI thought mwenye mada alikua anamaanidha hatuna uwezo wa kununua what we need., ingekua Tz je? hamuna uwezo ata wa kusaidia your fellow ldc poor neighbours like Malawi etc., u lack ability to donate anything, Geza Ulole check yourself before kuropokwa ovyo ovyo.
Acha kusingizia kwamba nusu ya Kenya ni jangwa, mbona mnaongoza kwa kulima chai na flowers, au chai mnalima juu ya mawe?. Tatizo ni uchumi wa kibepari ambapo ardhi yenye rutuba inamilikiwa na matajiri wachache ambao hawawezi kulima mahindi hayana faida.Kama wewe ni msomi kwa jinsi unavyojigamba humu basi unaelewa kwamba nusu ya Kenya ni jangwa tofauti na bongo. Nimewaonya dhidi ya kuwacheka wengine. Mliwacheka wakenya bwawa lilipokata na kuwaua watu 40+.huko kwenu watu 220 walifariki kisa kuzama baharini. Kama wewe ni mwerevu basi unanielewa. Jalali halali. Unachofanyia mwenzako ujue Mungu anakuona. Malipo ni hapa duniani. Ni vizuri kuwa mnyenyekevu. Bad luck happens to everyone
Acha kusingizia kwamba nusu ya Kenya ni jangwa, mbona mnaongoza kwa kulima chai na flowers, au chai mnalima juu ya mawe?. Tatizo ni uchumi wa kibepari ambapo ardhi yenye rutuba inamilikiwa na matajiri wachache ambao hawawezi kulima mahindi hayana faida.
Hata huku Tanzania kama tungeruhusu ubepari kama ninyi, ardhi yote nzuri ingekuwa mikononi mwa wachache kama ilivyo Kenya na South Africa, South Africa wanaanza kuiga Tanzania kwa kuitaifisha ardhi ili iwe mali ya serikali ili waigawe kwa wananchi, Kenya hamuwezi kwa sababu ukoo wa Kenyatta ndio wamiliki wa biashara ya sushi.
Hujui chochote kuhusu Kenya. Nyie wabongo mmeaminishwa kwamba wakenya wanaishi kibera na turkana halafu wazungu wanamiliki hiyo ardhi nyingine. Endeleeni kuamini hivyoAcha kusingizia kwamba nusu ya Kenya ni jangwa, mbona mnaongoza kwa kulima chai na flowers, au chai mnalima juu ya mawe?. Tatizo ni uchumi wa kibepari ambapo ardhi yenye rutuba inamilikiwa na matajiri wachache ambao hawawezi kulima mahindi hayana faida.
Hata huku Tanzania kama tungeruhusu ubepari kama ninyi, ardhi yote nzuri ingekuwa mikononi mwa wachache kama ilivyo Kenya na South Africa, South Africa wanaanza kuiga Tanzania kwa kuitaifisha ardhi ili iwe mali ya serikali ili waigawe kwa wananchi, Kenya hamuwezi kwa sababu ukoo wa Kenyatta ndio wamiliki wa biashara ya sushi.
I know you are not. No need to diss meI'm not Geza Ulole, Sindano inaingia mpaka una mistake identities. Hahhahahhaha, poor Nyangau!.
Jibu hoja, kwanini mnaongoza kuzalisha chai na maua lakini chakula mnashindwa kuzalisha mnasingizia semi desert climate?Hujui chochote kuhusu Kenya. Nyie wabongo mmeaminishwa kwamba wakenya wanaishi kibera na turkana halafu wazungu wanamiliki hiyo ardhi nyingine. Endeleeni kuamini hivyo
Jibu hoja, kwanini mnaongoza kuzalisha chai na maua lakini chakula mnashindwa kuzalisha mnasingizia semi desert climate?
Kama mlisoma jiografia na agriculture basi ungeelewa kwa nini pande zingine zinakuzwa mahindi na zingine chai.Jibu hoja, kwanini mnaongoza kuzalisha chai na maua lakini chakula mnashindwa kuzalisha mnasingizia semi desert climate?
Hahahahaha, ni ngumu sana kuitetea Kenya, mpo na matatizo mengi sana, ukweli ni kwamba capitalism ni sababu kuu ya matatizo ya Kenya, kila mtu anataka kujinyakulia kila kitu.Kama mlisoma jiografia na agriculture basi ungeelewa kwa nini pande zingine zinakuzwa mahindi na zingine chai.
Soma kijana
If that makes you happy,it's ok.Hahahahaha, ni ngumu sana kuitetea Kenya, mpo na matatizo mengi sana, ukweli ni kwamba capitalism ni sababu kuu ya matatizo ya Kenya, kila mtu anataka kujinyakulia kila kitu.
Kenya life inafanana kabisa na life in the jungle, man eat man society, you have lost conscience, nor humility at all, killings have been order of the day, money can buy lives, nearly you worship money instead of God.
Kenya has become a “bandit economy”, says Chief Justice Willy Mutunga - African Arguments
The poor person in kibera might be rich compared to the average poor person in Tanzania.rent in kibera goes at around 1000 to 2000ksh you can do the conversion into tanzanian shillings .TATIZO LA NAYANGAU WENGI HAMJIELEWI NA WALA HAMELEWI YANAYOENDELEA NCHI NYINGINE NA DUNIANI POOR KENYANS, ENDELEENI KULISHWA MCHELE, HIYO FEDHEHA HAITAKAA ITOKEE TANZANIA KATIKA HALI YA KAWAIDA, SHAME UPON YOU, MZUNGU ANA MAELFU YA MAEKARI YENYE RUTUBA KENYA, NYANGAU ANAJISIFU KUISHI SLUMS ZA KIBERA NA MANDERA
What do you expect from a country with a lot of illiterates. People who don't even understand the meaning of a balanced diet. Wanapatia watoto ugali kwa uji halafu spinach wanawapa sunguraTanzania still have high rate of malnutrition, Higher death rates,High infant motarity rate and high number of underweight children than Kenya but most are still leaving in denial.
Hahahahahaha, purely failed state mentality, if you are rich but you are using a flying toilet, and a poor one uses a good pit latrine, are you still rich?. Sifa za kijinga.The poor person in kibera might be rich compared to the average poor person in Tanzania.rent in kibera goes at around 1000 to 2000ksh you can do the conversion into tanzanian shillings .