asanteni kwa michango yenu, sory kwa kuchelewa kuwajb coz nipo shule na nilikosa mda kufungua net. kwa yule aliye taka ni Pm nitafanya hvyo soon ngoja nifanye mawasiliano na huyu yatima. ila kwa wale wanao apply utani ktk hili mara ni gf wangu, namuomba mungu awaepushe na awape upeo wa kujua tatizo la mwingine.