Huruma yenu wana JF iwe msaada!



Labda wewe ndio unafanya utani!
 
Wakuu tunaweza kuendelea kujadili hii mada hasa kwa wale walisema wamehisi kitu!

Huyu mtu mpaka sasa hana jipya hajaleta taarifa ingawa sasa napata wasiwasi kuwa lengo lake hakuwa kupata msaada kwa mapana ya maana ya msaada labda alikuwa anamtafuria rafikie kazi!
 
Naomba unipe muda niangalie nini ninaweza kufanya katika hilo kama kweli unachosema ndicho unachomaanisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…