Huruma yenu wana JF iwe msaada!

Huruma yenu wana JF iwe msaada!

asanteni kwa michango yenu, sory kwa kuchelewa kuwajb coz nipo shule na nilikosa mda kufungua net. kwa yule aliye taka ni Pm nitafanya hvyo soon ngoja nifanye mawasiliano na huyu yatima. ila kwa wale wanao apply utani ktk hili mara ni gf wangu, namuomba mungu awaepushe na awape upeo wa kujua tatizo la mwingine.


Labda wewe ndio unafanya utani!
 
Wakuu tunaweza kuendelea kujadili hii mada hasa kwa wale walisema wamehisi kitu!

Huyu mtu mpaka sasa hana jipya hajaleta taarifa ingawa sasa napata wasiwasi kuwa lengo lake hakuwa kupata msaada kwa mapana ya maana ya msaada labda alikuwa anamtafuria rafikie kazi!
 
Naomba unipe muda niangalie nini ninaweza kufanya katika hilo kama kweli unachosema ndicho unachomaanisha.
 
Back
Top Bottom