Aah wapi huyu ndio mke ameshamaliza mishe yuko tayari kutulia...safi sanaTatizo Vigezo Vingi kama Kazi za TAMISEMI,
Hata hivyo Kumuoa mwanamke anayekaribia Miaka 30 Hayo sio mapenzi ni Tukio la uokoaji.
Changamkieni huyo mke kajileta mwenyeweHukuna ajabu mkuu, huyu ni member lkn kaja na id ya mambo muhimu sio mbaya
Nijoree? Ndi mulaangi wa Haubi.Msinga ni nkasu URI huu!!?
Uri mlaangi wa hai wewe!!?
Nene meeto ni changaa kuraa arami wewe wa haiii!!?
Kama wewe ni mrangi kweli utakua umenielewa!!
Eti tukio la uokoaji. 🤣🤣🤣🤣 ila kweli hapo wanaume wamepiga na kupiga afu ujibebee tu 29 kwa masharti lukuki. Ila wanawake wanaona wanaume wanaumwa kwa matazamio yao
Kuna Warangi wachungaji wewe bibi, hata Waarabu Wakristi ni wengi tuHao wasandawe wanajidai tu warangi siyo warangi.
AKija pm tutayajenga, siendagi pm kutongiza, aje yeye😂Changamkieni huyo mke kajileta mwenyewe
Kweli. Nayo financial stable sio ile ya kutafuta tajiri bali anaechanga au mwaajiriwa tuYani hapo ilifaa aweke kigezo kimoja tu Cha Awe Financial stable vingne vyote havina maana
😂😂 unanishinda tabia..Hebu mkuu anza hapa kwanza, ili tuelewane!
.....a man that can handle a family (1). Meaning financially stable.(2)
Mwanaume ambaye ni mtulivu wa nafsi, (3) asiye na hasira na ugomvi.(4) Umri 30-39.(5)
Awe mkristo RC itapendeza zaidi. (6)Asiwe mbabe(7). Ambaye ataniheshimu pia. Uwe unaishi Dar es salaam(9). Usiwe sharobaro wala Brother men(10). Usiwe wa mjini sana na Wala usiwe muongeaji sana. (11) Because siwezi watu waongeaji. Uwe mpole.(12) Because Mimi ni mtu calm. Uwe umesoma angalau. (13) Usiwe bonge please uzito wako uwe around 70's. Or 60's.(14)
Mwalimu wangu Depal Nihitimishe hiyo full packge inayotafutwa hata kwenye karakana ya uumbaji haipo kwenye order.. Mashauriane Vizuri. mtamtafuta Muumba ubaya tu
C'monMambo ya love connect haya
Kwa nini unakubali kushindwa kirahisi hivyo, au unerogwa?Haya umeshinda
Aah wapi huyu ndio mke ameshamaliza mishe yuko tayari kutulia...safi sana
[emoji2960][emoji2960][emoji23][emoji23] unanishinda tabia..
Kwa nini unakubali kushindwa kirahisi hivyo, au unerogwa?
Ahhh!!kuumbe!!!kwaala madam Asia Lubuva mwaarimu wane wa kiingereza hara Bereko hara!!Nijoree? Ndi mulaangi wa Haubi.
Nakazia pia hapa malizaneni mambo ya pm waachieni wapiga selfieAKija pm tutayajenga, siendagi pm kutongiza, aje yeye😂
Mapenzi sio siri, aseme tu...kaka niko tayari...hapo ndio tuhamie pm kuyajengaNakazia pia hapa malizaneni mambo ya pm waachieni wapiga selfie
Nimehitaji mtu kind tu jamani, sijataka mambo mengi.
Natengire, seche okatija mujini ukadoma Tabora?Ahhh!!kuumbe!!!kwaala madam Asia Lubuva mwaarimu wane wa kiingereza hara Bereko hara!!
Kumbe ukaare lolwaa huu!!
PATA vi ure msinga!!Tenga sana kunu TABORA tumware kunu!!