Husband

Husband

byna

Member
Joined
Jan 4, 2013
Posts
36
Reaction score
14
Nina
miaka 26 Nimeajiliwa serikalini dini christian natokea ngara kwa sasa
niko Dar nataka mume awe christian mtanashati na mwenye mapenzi ya kweli
 
Kwaiyo wewe ni toto la kihaya au kiangaza? pliz hebu tuwasiliane, najuwa utamu wa ukanda wa kule we ni PM,
unaweza kuta mimi ndo ulikuwa unaningojea siku zote.
 
Nina
miaka 26 Nimeajiliwa serikalini dini christian natokea ngara kwa sasa
niko Dar nataka mume awe christian mtanashati na mwenye mapenzi ya kweli

Mmh hapa tusimwage mchele kwenye kuku wengi, pliiiz hebu tuwasiliane kule kwenye private tuyajenge mambo yetu,
pole na jootro la dar my swit to b.
 
Nimejikuta nacheka sana kwa response za hao jamaa wawili hapo juu.Vijana mna mambo sana.Kila la kheri
 
Nimejikuta nacheka sana kwa response za hao jamaa wawili hapo juu.Vijana mna mambo sana.Kila la kheri

hw sure sisi ni vjana? hujalala afu upo uku unna dalili zote za uviziaji wewe.
 
Jana kuna 1 aliandka kama hivyo si nikampa # yangu kumbe siyo gal ni punga ananisumbua balaa ntamtaja mda wowote
 
Jana kuna 1 aliandka kama hivyo si nikampa # yangu kumbe siyo gal ni punga ananisumbua balaa ntamtaja mda wowote

wewe JIPU si uliwahi kutangaza unataka demu? Sa umempata komaa nae huyo huyo!
 
Uandishi wako tu unatosha kukuweka kundi gani

Haya assesser wa kujua vijana kupitia miandiko tena online, ila jua kuwa ila jukwaa kwa kiasi kikubwa ni la vijana na mahaba ndio maana uku bwana anatafutwa mara natafuta mke, maisha ndio haya na zama ndio hizi kama enzi zako hayakuwepo basi tena, au kama uliwahi kuoa/kuolewa ndio imekula kwako hiyo mkuu, wacha sie tujinasi
 
Waoooh! Bora nimepata wa nyumbani kbs. Ngara mi pia kwetu, ebu jaribu kuni pm number yako ili tuwekane sawa mhangaza mwenzangu!
 
Kwaiyo wewe ni toto la kihaya au kiangaza? pliz hebu tuwasiliane, najuwa utamu wa ukanda wa kule we ni PM,
unaweza kuta mimi ndo ulikuwa unaningojea siku zote.

Hapa hakuna muoaji, dada stuka!!
 
Tabu yako hujui utamu wa wahaya wewe. aya mi nmekuachia wewe bwana.

Kumbe we shida yako ilikua umuonje utamu tu mkuu WAVISA??
Samahani bana, sikujua aisee.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom