warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Sasa wale ma slay queen itakuaje jamen ?, nawaonea huruma akina huddah, tontoh dikeh, bobrisky, vera sidika and the rest, wamekula sana ma millions ya huyu jamaa in Dubai . Ila tuseme tu ukweli wanaijeria wanajua ku hustle bhana, embu imagine wamefanikiwa kuiba more than $100 millions , their game is not cheap , hail to hushpuppi [emoji384][emoji383]
Scandal na Habari inayotambaa kwa kasi kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii huko Nigeria, ni issue ya Billionare kutoka Nigeria, Hushpuppi pamoja na wenzie kukamatwa nchini Dubai kwenye apartment ya Pallazo Versace usiku wa kuamkia leo akiwa na wenzie kwa kesi ya money laundering na online scamming .
=========
Davido amemu-unfollow
=================
Habari hiyo imepelekea baadhi ya watu wake wa karibu kum-unfollow Billionaire huyo mwenye pesa chafu hili kuepuka kuunganishwa moja kwa moja na mtuhumiwa huyo kutokana na ukaribu na hushpuppi.
Moja ya watu wanaoshutumiwa kum-unfollow Billionaire huyo ni mwanamuziki Davido ambaye inasadakiwa ni mtu wake wa karibu sana na Billionaire huyo, hivyo kuzuia tetesi huenda staa huyo na yeye alikwua kwenye channel moja na Billionaire huyo.
Mmhm kama nawaona wanazengo wanavyotamani davido awe connected na hii scandal na yeye akamatwe, lol
==========
Huddah amtetea
==========
Socialite first class kutoka pande za +254 , huddah Monroe , who has been rumored to bed with the Hushpuppi Mara kibao akiwa nchini Dubai na kumwagiwa dirhams za kutosha, amewajia juu watu wanaomuandamana billionaire huyo baada ya kukamatwa na polisi ...
Mmmh shoga angu nae una nuski, corona haijaisha danga nalo limekamatwa, naona designers clothing this time zitapumzika, pole mwaya ndo maisha ...
Scandal na Habari inayotambaa kwa kasi kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii huko Nigeria, ni issue ya Billionare kutoka Nigeria, Hushpuppi pamoja na wenzie kukamatwa nchini Dubai kwenye apartment ya Pallazo Versace usiku wa kuamkia leo akiwa na wenzie kwa kesi ya money laundering na online scamming .
=========
Davido amemu-unfollow
=================
Habari hiyo imepelekea baadhi ya watu wake wa karibu kum-unfollow Billionaire huyo mwenye pesa chafu hili kuepuka kuunganishwa moja kwa moja na mtuhumiwa huyo kutokana na ukaribu na hushpuppi.
Moja ya watu wanaoshutumiwa kum-unfollow Billionaire huyo ni mwanamuziki Davido ambaye inasadakiwa ni mtu wake wa karibu sana na Billionaire huyo, hivyo kuzuia tetesi huenda staa huyo na yeye alikwua kwenye channel moja na Billionaire huyo.
Mmhm kama nawaona wanazengo wanavyotamani davido awe connected na hii scandal na yeye akamatwe, lol
==========
Huddah amtetea
==========
Socialite first class kutoka pande za +254 , huddah Monroe , who has been rumored to bed with the Hushpuppi Mara kibao akiwa nchini Dubai na kumwagiwa dirhams za kutosha, amewajia juu watu wanaomuandamana billionaire huyo baada ya kukamatwa na polisi ...
Mmmh shoga angu nae una nuski, corona haijaisha danga nalo limekamatwa, naona designers clothing this time zitapumzika, pole mwaya ndo maisha ...